Nimehama rasmi Manchester United na kujiunga na Liverpool

Nimehama rasmi Manchester United na kujiunga na Liverpool

Mimi nawajua jamaa zangu tuliokuwa nao Liverpool enzi za kina Robbie Fowler walikuja wakahamia Chelsea Mourinho alivyokuja ile 2004.

Sishangai nikiona mtu anahama timu.
Ni kweli kuna mashabiki wa aina nyingi. wako wanapenda team, wako wanapenda kocha, mchezaji na hao wako wengi tu. Kuna watu wanaenda na Maurinho tu wengine wako Juve kwa ajili ya Ronaldo na wengi wa washabiki ni wale kufungua macho wameona Man u wanashinda tu wakaunga huko wengine ndio kufungua macho Arsenal haifungwi. Mimi ni Liver na ukiniuliza sababu ni kuwa nafungua macho tu wakati ule Liver wanashinda tu. Tofauti nilipenda team sio mchezaji hawa wengine wanapenda mtu au tukio hapo likiisha wanahama.
 
Ni kweli kuna mashabiki wa aina nyingi. wako wanapenda team, wako wanapenda kocha, mchezaji na hao wako wengi tu. Kuna watu wanaenda na Maurinho tu wengine wako Juve kwa ajili ya Ronaldo na wengi wa washabiki ni wale kufungua macho wameona Man u wanashinda tu wakaunga huko wengine ndio kufungua macho Arsenal haifungwi. Mimi ni Liver na ukiniuliza sababu ni kuwa nafungua macho tu wakati ule Liver wanashinda tu. Tofauti nilipenda team sio mchezaji hawa wengine wanapenda mtu au tukio hapo likiisha wanahama.

Kitu kimoja nachokionaga kwa hawa hama hama ni kwamba hawataki presha, timu ikizingua anaachana nayo.

Wengine tumefanya timu kama kabila, ndo maana kuna kipindi tunateseka mpaka vibandani unajipiga ban, unakuwa unaenda mechi ambazo si zako.
 
Kitu kimoja nachokionaga kwa hawa hama hama ni kwamba hawataki presha, timu ikizingua anaachana nayo.

Wengine tumefanya timu kama kabila, ndo maana kuna kipindi tunateseka mpaka vibandani unajipiga ban, unakuwa unaenda mechi ambazo si zako.
Ni kweli lakini ushabiki ni kupenda team hata katika kipindi kigumu unakuwa na team sio kukimbia shida na ndio raha sasa tukiwa wote tunashangilia bingwa tu hakuna raha. washabiki wa kweli wengi ni Liverpool team miaka zaidi ya 20 bila ubingwa lakini ndio team nadhani ina mashabiki watiifu kuliko team zote na hasa kwetu Tz.
 
Hamnaga shabiki was mpira anahama timu,. Unaweza kuacha mke lakini siyo kuhama timu. Ni habari nyingine kabisa. Wewe siyo shabiki.
Kama ndiyo hivyo basi arsenal ingekua haina shabiki hata mmoja.
Wee wacheki wanakonda Kama hawali lakini hawahami. !!!!!!!
Nimecheka sanaaaaaaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani ungeniona nilivyo bonge na nina miaka 27 naishabikia arsenal.....kifupi mimi ni mpenzi wa goodfootball so hata tufungwe kila siku kama timu inaniburudisha kwa mpira saaaaafi mimi sihami hata muje na kijiko cha konoike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu chama la wana, Wengine mwaka jana tulivyopigwa ile fainal na Madrid roho ilitaka ututoke.

Lakin mwaka huu tupo kamili kila idara, tunaenda kubeba EPL na UEFA. #YNWA
 
Back
Top Bottom