The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Hahaha tulia weweeeWewe inabidi ukapime akili sio DNA!
Nitajiua tu mkuu. Ila niombeehata 0.001% inatosha tu ntafurahi kichizi.Dah!Sasa ukikuta DNA yako ni fisi mtupu,itakuwaje mkuu?
InshaAllah!Shika simu yako barabara isiibwe na makampuni ya uchukuzi!Fumba macho nikuombee dua njema.😎🙏Nitajiua tu mkuu. Ila niombeehata 0.001% inatosha tu ntafurahi kichizi.
Wanajamvi wenzangu.
Nilikuwa naangalia Tiktok kuna waafrika weusi kabisa kutoka Igbo Nigeria na South Africa wamepima DNA wakapatikana ni wayahudi 97% wengine 85%.
Huko Ethiopia ndo usiseme. Kuna mdada flani kapima kajikuta 2% borana 3% Oromo iliosalia ni mteule.
Cha kustaajabisha Southern Sudan kuna wayahudi wa kutosha tu DNA imethibitisha.
Nimehamasika na mimi nikapime nifaham niko kwenye kundi takatifu teule?
Nina hisia flani some funny feelings huenda nina uyahudi ndani yangu.
Yani hata 1% Jewish Majibu ya kitoka kutalipuka na shangwe ya hatarii.
Future jew.
mchepuko wa babu yake.Hiyo 100% DNA ya Uyahudi inakuwa ni imetoka kwa nani? Yaani hiyo control DNA
Wanajamvi wenzangu.
Nilikuwa naangalia Tiktok kuna waafrika weusi kabisa kutoka Igbo Nigeria na South Africa wamepima DNA wakapatikana ni wayahudi 97% wengine 85%.
Huko Ethiopia ndo usiseme. Kuna mdada flani kapima kajikuta 2% borana 3% Oromo iliosalia ni mteule.
Cha kustaajabisha Southern Sudan kuna wayahudi wa kutosha tu DNA imethibitisha.
Nimehamasika na mimi nikapime nifaham niko kwenye kundi takatifu teule?
Nina hisia flani some funny feelings huenda nina uyahudi ndani yangu.
Yani hata 1% Jewish Majibu ya kitoka kutalipuka na shangwe ya hatarii.
Future jew.
adriz Chaliifrancisco Jagina Adiosamigo
No way uwongo uwongo uwongo. Kamwe haiwezekani. Kama ni hivyo hamna haja hata ya kupima DNAWasomali nd
Wasomali pia wengi wana asili ya Kihebrania.
MteuleSo ukishakuwa myahudi utapata hela automatically?