Nimehamia Tabata, kila mtoto ninaekutana nae ni kisu balaa, sijui kama nitapona mie

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Wakuu,

Bwana mi nimetoka zangu huko Mbagala mwisho, nimehamia Tabata, naomba nikiri kuwa, sijawahi kukutana na msichana mbaya, kila naepishana nae ni toto kali! Halafu kingine, hakuna mambo ya wizi wa madirishani au namna gani, unaweza kulala hata mlango wazi kabisa. Pia watu hawana time na mtu, kila mtu yuko na hamsini zake.

Jamani badilisheni maeneo muone mapya.
 
Tabata Sehemu Gani?
 
Shetani kashawahukumu kifo wale wote wamchao Mungu ktk roho na kweli. Yaani wewe ni mali ya shetani ndio maana umepewa kipawa cha kuwa na moyo wa uzinifu muda wote!. Utanisaamehe sana maana mimi furaha yangu ni kutoa ya moyoni tu!, uzinzi kazi sana. Wabaya walikuwepo zamani kwa kukosa maarifa ya kidunia, kwasasa waliopewa maarifa ya kidunia utawaona wote wazuri. hata ukienda kwa pinda kule katavi utawakuta wazuri wengi tu
 
Dar kila sehemu nzuri kuishi labda wewe tu, hata tandale pako poa.
 
Mkuu tembelea na Mlimani City pale, visu balaa, ova mamtoni
 
ndo hivyo mkuu yaani full kipupwe
aiss nitakuja...ila huko naona wanawake bado wako nyuma sana...bado wanavaa chupi!!huku kwetu walishaacha kuzivaa kitambo...si unajua tena joto la dar!
 
aiss nitakuja...ila huko naona wanawake bado wako nyuma sana...bado wanavaa chupi!!huku kwetu walishaacha kuzivaa kitambo...si unajua tena joto la dar!
hao wa huko ndo washamba, chupi inatia amsha amsha kwenye kuivua, mtoto kama hataki vile kumbe ndo anataka, unaishika mzee mzima unaishusha, raha ya chupi aivue mwanaume kwi kwi kwi tandale rahaa
 
hao wa huko ndo washamba, chupi inatia amsha amsha kwenye kuivua, mtoto kama hataki vile kumbe ndo anataka, unaishika mzee mzima unaishusha, raha ya chupi aivue mwanaume kwi kwi kwi tandale rahaa
aiss tandale nitakuja...
 
Kazaaa kaka ARV ni buree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…