B Bunyamboh Senior Member Joined Sep 22, 2017 Posts 170 Reaction score 282 Jun 13, 2023 #1 Bujeti yangu ni TSH 1M ninatafuta 1. Kitanda used bila godoro 2. Sofa zilizo kwenye hali nzuri 3. TV flat screen size yoyote 4. Friji used
Bujeti yangu ni TSH 1M ninatafuta 1. Kitanda used bila godoro 2. Sofa zilizo kwenye hali nzuri 3. TV flat screen size yoyote 4. Friji used
Pettymagambo JF-Expert Member Joined Aug 21, 2017 Posts 1,490 Reaction score 8,227 Jun 13, 2023 #2 Watu
Msolo JF-Expert Member Joined Oct 19, 2008 Posts 2,713 Reaction score 3,559 Jun 13, 2023 #3 Sikushauri kununua godoro na kitanda used, labda hivyo vingine.
T Trunk Member Joined Dec 7, 2021 Posts 63 Reaction score 114 Jun 13, 2023 #4 Msolo said: Sikushauri kununua godoro na kitanda used, labda hivyo vingine. Click to expand... Mbona amesema bila godoro
Msolo said: Sikushauri kununua godoro na kitanda used, labda hivyo vingine. Click to expand... Mbona amesema bila godoro
aise JF-Expert Member Joined May 16, 2018 Posts 5,175 Reaction score 16,488 Jun 13, 2023 #5 5, kama unataka mabakuli na masahani yapo katika hali nzuri nicheki na ndoo zipo.
P Pisila JF-Expert Member Joined Sep 18, 2021 Posts 1,799 Reaction score 3,196 Jun 13, 2023 #6 Sasa hiyo hela si uende mafukani unapata vyote hivyo vikiwa vipya
edon66 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 2,907 Reaction score 9,135 Jun 13, 2023 #7 Njoo na laki mbili 270000 nikupee kitandàa kipyaa kbs mkuu
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jun 13, 2023 #8 Dah! Hiyo hela bora ukaitumia tu kwa kununua vitu vichache vipya. Maana unaweza ukabambikwa vitu used ambavyo vimeshachoka.
Dah! Hiyo hela bora ukaitumia tu kwa kununua vitu vichache vipya. Maana unaweza ukabambikwa vitu used ambavyo vimeshachoka.
Frank I Ritte JF-Expert Member Joined Apr 12, 2023 Posts 1,003 Reaction score 1,350 Jun 13, 2023 #9 Bunyamboh said: Bujeti yangu ni TSH 1M ninatafuta 1. Kitanda used bila godoro 2. Sofa zilizo kwenye hali nzuri 3. TV flat screen size yoyote 4. Friji used Click to expand... Kuna ulazima wa kununua hivyo vitu?.
Bunyamboh said: Bujeti yangu ni TSH 1M ninatafuta 1. Kitanda used bila godoro 2. Sofa zilizo kwenye hali nzuri 3. TV flat screen size yoyote 4. Friji used Click to expand... Kuna ulazima wa kununua hivyo vitu?.