Nimehamishiwa kikazi Mwanza nyumbani, natafuta mke tuunde familia

Nimehamishiwa kikazi Mwanza nyumbani, natafuta mke tuunde familia

Habari wana JF,

Kwa miaka 6 nilikuwa Dar kikazi, hatimae maono ya kurudi nyumbani kwetu Mwanza yamefanikiwa, na sasa ni mwezi wa 3 nipo Mwanza naendelea na Kazi, nimeshapanga Nyumba, ila upweke unanisumbua, ila nina ukabili kwa nia thabiti ya kumpata Mwenza.. Mke wa Maisha. Hivyo I'm not playing around, kwanza mji umeshabadilika, I have so many places to visit and relatives to see, but moyoni ninawinda, yaani ninatembelea ndugu na jamaa, hadi classmates, lakini kwakweli...kama tu jinsi nilivyowaacha Miaka ile, sioni Mteule miongoni mwao, maana kasi yangu ya ku-settle ni kubwa.

Wengi nikishare nao wanaishia kusema...tafuta taratibu, take your time! Hawajui ninavyoumia kuwa single, maana nashindwa mengi, kama vile kupanga miradi na kuendesha, kwa ufupi sina mtu wa karibu zaidi wa kushare na kuspend nae time, tuyajenge pamoja.

Naomba kama kuna binti au mwanamke mwenye uhitaji kama wangu, wa kuwa na mwenza, na ikiwezekana Ndoa...basi tuwasiliane PM na kupeana taarifa zaidi huko, ila nimeona niseme na kutoa dukuduku.

Natamani kuwa Mme wa mtu, niitwe Baba after sometime. Ninayo support ya ndugu na jamaa, kwahiyo mambo yote yatakuwa formal (posa, mahari, harusi, etc).

Bio yangu kwa ufupi:
Mimi ni Mkristo, elimu yangu ni Degree, kazi yangu ni Specialist wa mifumo ya mashine, Kabila ni msukuma, ni maji ya kunde, nina umbo la kati, ni mcheshi, mpole na ninayependa watu. Mengine tutafahamiana zaidi.

Sifa za ninayemuhitaji:
Itapendeza akiwa Mwanza, umri kuanzia miaka 28-37, awe na kazi au mjasiriamali, dini sio kikwazo, awe tayari kwa mahusiano serious na hata Ndoa, umbo na mwonekano ni majaliwa ya Mungu...mimi natafuta mke, sio shape ya mtu. Karibu wangu waridi!
maisha ni kutafuta sio kutafutana
 
Haya jama hakuna vigezo wengine wakija hapa wana vigezo kama mganga wa kienyeji mara watataka chura mara hivi haya hayaaa
 
Kwa nini usitafute kwanza girlfriend halafu uone jinsi itakavyokwenda?
 
Wanaokuambia nenda taratibu hawakosei. Seriously, slow down!
 
Nitafute nikupe rafiki yangu, hakika atakufaa ila yuko dar lakin kuhamia huko haitakuwa shida after sometime
 
Habari wana JF,

Kwa miaka 6 nilikuwa Dar kikazi, hatimae maono ya kurudi nyumbani kwetu Mwanza yamefanikiwa, na sasa ni mwezi wa 3 nipo Mwanza naendelea na Kazi, nimeshapanga Nyumba, ila upweke unanisumbua, ila nina ukabili kwa nia thabiti ya kumpata Mwenza.. Mke wa Maisha. Hivyo I'm not playing around, kwanza mji umeshabadilika, I have so many places to visit and relatives to see, but moyoni ninawinda, yaani ninatembelea ndugu na jamaa, hadi classmates, lakini kwakweli...kama tu jinsi nilivyowaacha Miaka ile, sioni Mteule miongoni mwao, maana kasi yangu ya ku-settle ni kubwa.

Wengi nikishare nao wanaishia kusema...tafuta taratibu, take your time! Hawajui ninavyoumia kuwa single, maana nashindwa mengi, kama vile kupanga miradi na kuendesha, kwa ufupi sina mtu wa karibu zaidi wa kushare na kuspend nae time, tuyajenge pamoja.

Naomba kama kuna binti au mwanamke mwenye uhitaji kama wangu, wa kuwa na mwenza, na ikiwezekana Ndoa...basi tuwasiliane PM na kupeana taarifa zaidi huko, ila nimeona niseme na kutoa dukuduku.

Natamani kuwa Mme wa mtu, niitwe Baba after sometime. Ninayo support ya ndugu na jamaa, kwahiyo mambo yote yatakuwa formal (posa, mahari, harusi, etc).

Bio yangu kwa ufupi:
Mimi ni Mkristo, elimu yangu ni Degree, kazi yangu ni Specialist wa mifumo ya mashine, Kabila ni msukuma, ni maji ya kunde, nina umbo la kati, ni mcheshi, mpole na ninayependa watu. Mengine tutafahamiana zaidi.

Sifa za ninayemuhitaji:
Itapendeza akiwa Mwanza, umri kuanzia miaka 28-37, awe na kazi au mjasiriamali, dini sio kikwazo, awe tayari kwa mahusiano serious na hata Ndoa, umbo na mwonekano ni majaliwa ya Mungu...mimi natafuta mke, sio shape ya mtu. Karibu wangu waridi!
Km nakufananisha
 
28-37=9+37=46 huu ndio wastan wa umri wako kwenda juu si kushuka chini.

28-37 wengi ktk umri huu ni single mothers,
40-55 wengi ktk umri huu ni watalaka.
 
Back
Top Bottom