To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤣AiseeNaomba namba ya mke wako tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣AiseeNaomba namba ya mke wako tafadhali
Alipona? AliponajeJambo hilihili lililompata ndugu yetu #kazanazo
🤣🤣 unawajua wachawi wewe anakuroga na kila siku asubuh unawah kukuangalia unaendeleaje,,, kama mchepuko ulimlipa kama mlivyokubaliana hawez kukufanyia ivo kwanza mi kwa mchepuko siamin kabisa ila mkeo atakuwa aliweka tego ambalo kashindwa kulitegua uvumilivu wake anajua alipokosea ni mawazo tuSawa ntafanya ivo japo kusema ukweli ananisaidia sana kupambana na hii hali na anaonesha kutojali ili nisiwe na mawazo hapo ndo huwa najipa iman huenda sio yeye
Kuna vidonge vya tiba hio. Ulizia hospitali ya mikocheni. Vidonge vimeandikwa MenPlus au itwa mwanaume. Unatumia mwezi mmoja pamoja na dawa ya maji. Hio ni mishipa ndio yenye shida. Mimi vilinisaidia. Unaweza kuongea na daktari wa mikochrni akakushauri. 0719794789Naomba msaada uume wangu hausimami.
Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).
Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.
Natanguliza ahsante
wewe ilikuwa haisimami kabisa?Kuna vidonge vya tiba hio. Ulizia hospitali ya mikocheni. Vidonge vimeandikwa MenPlus au itwa mwanaume. Unatumia mwezi mmoja pamoja na dawa ya maji. Hio ni mishipa ndio yenye shida. Mimi vilinisaidia. Unaweza kuongea na daktari wa mikochrni akakushauri. 0719794789
Kweli Kabisa sis!Mke wako ndio mwenye dawa yako
Hospital gani inaitwaKuna vidonge vya tiba hio. Ulizia hospitali ya mikocheni. Vidonge vimeandikwa MenPlus au itwa mwanaume. Unatumia mwezi mmoja pamoja na dawa ya maji. Hio ni mishipa ndio yenye shida. Mimi vilinisaidia. Unaweza kuongea na daktari wa mikochrni akakushauri. 0719794789
😊Anampa tu moyo huku anamng'ong'aKweli Kabisa sis!
Mkoa gani mkuu specificKuna mtu mmoja ndugu yake aliwahi kupata tatizo kama hilo shida hiohio kuchepuka mchep akamfunga na walimtafutia mtaalamu aliaguliwa akapina vizuri tu mikoa ya kusini huko vipi ushatatua au nikuunganishe nae??
Nimeshamwambia kasema ngoja atafute mawasiliano nao kwanza kwani ni muda kidogo umepita tangu huyo ndugu yake alipopata hio shida!Mkoa gani mkuu specific