Nimeharibu mahusiano ya mchepuko wangu na bodaboda wake

Wewe jamaa DeepPond umekuja tena. I see jamaa yangu unastahiri kupata demu mwenye uelewa. Huyo demu wako mweupe kabisa. Hakustahili hata kidogo. Ila ndio bahati mbaya huwezi kumuacha. Hata hivyo mbona mademu waelewa ni wengi. Tena huo mkoa uliko mbona wako wakali na waelewa wengi tu?. Basi nakushauri mpige mimba double double.
 
Mtu mzima kabisa, usikute una ndambi unaenda kupiga chabo kwa mchepuko 😂😂😂.
Mapenzi yanaleta uchizi kwakweli, mnagongana mbele ya mwamba eti kutekeleza mpangoa ila we jamaa bna 😂😂😂.
 
Ulichokiandia hakina tofauti na kesi ya mbowe
 
Huyu deepond anashinda kweli kwa mke wake, au hizi story ni za mke wake lakini kapindisha kinyume nyume.


muda anaotumia kwa mchepuko.
Nguvu anayotumia kwa mchepuko.
Akili za deepond zote zipo kwa huyu mwanamke.

bado sielmuelewi.
 
Mtu mzima kabisa, usikute una ndambi unaenda kupiga chabo kwa mchepuko [emoji23][emoji23][emoji23].
Mapenzi yanaleta uchizi kwakweli, mnagongana mbele ya mwamba eti kutekeleza mpangoa ila we jamaa bna [emoji23][emoji23][emoji23].
Ha ha ha....
Ule ulikua ni mpango kazi, chabo nayo kuna MDA Ina faida yake[emoji4]
 
Huyu deepond anashinda kweli kwa mke wake, au hizi story ni za mke wake lakini kapindisha kinyume nyume.


muda anaotumia kwa mchepuko.
Nguvu anayotumia kwa mchepuko.
Akili za deepond zote zipo kwa huyu mwanamke.

bado sielmuelewi.
Wife wangu ni mama tu wa nyumban, Hana kabisa makuu[emoji4]
 
Hivi yule dogo Mwenye gari la mkopo ulimhamisha mkoani au maana sikuona mwendelezo au ulimfanyeje
 
All in all ww ni good story teller ila kitu ambacho sijaelewa hiyo plan ya kumpiga mtungo mama j mwanzo ilikuwa serious au mtego tu kwa boda? Je boda angevua nguo pale ungeruhusu akala mbususu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…