Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Kweli mkuu, mie ningeweza kuingia na dirisha.Ili ucheze fitna vizur,
Hupaswi kupanik na kuendeshwa na mihemko.
Yaan unacheza karata zako utadhan huna Moyo.
Can u imagine unaona live mpenz wako anatomaswa uku na kule, afu unameza Pini Kama sio wewe.[emoji4]
Kumuingiza chumbani ndani ilikua Ni sehemu ya plan yangu. Hasa kumbuka nishamuaminisha boda kwamba Kuna suala la kumpiga threesome,Hivi DP mama J unachukuliaje?mbona Kama unampenda Ila unavyomtreat Kama kahaba?maana sidhani mtu unayemuheshimu utamuita boda chumbani mnadoo aingie,Mara unampiga chabo anachezewa nyeti zake,hebu nifafanulie hii imekaaje?,...Unless otherwise U're Using her,unamtumia mtoto wa mtu kwa faida zako binafsi
Unaweza kumuingiza mtu chumbani ukiwa na mke wako yule wa home?Kumuingiza chumbani ndani ilikua Ni sehemu ya plan yangu. Kwaiyo nilikua nalazimika nifanye hivo
Lengo lilikua kumuaminisha bodaboda Lile suala la threesome, ili nimvute engo nzuri ya kuwafarakanisha.
Na nashkuru MUNGU,
Ilinisaidia kujua kwamba jamaa alishamfanyia Zaid ya Yale niliishuhudia iyo ijumaa .
Rejea sentensi ya jamaa kwamba
"jaribio hili Mbona lilishafanyika na likashindwa".
Aisee uyo wako Kama wangu, kipind tunaanza Anza[emoji4]Mimi nina mchepuko wangu huyo balaa yani kila siku vitimbi juzi kanipikia wali bila mboga na wakati jana yake usiku nmemuachia hela ya matumizi yani leo hili kesho hili tunaachana siku mbili tunarudiana wiki
Unaona Sasa!kwenye fasihi tulijifunza nafasi ya mwanamke katika jamii,,,Sasa nafasi ya mama J hapa inaoneka Kama mwanamke Ni Chombo Cha starehe na kiburudisho.......Dah unamtumia Sana bila malengo huyo mdadWahome siwez ruhusu upumbavu Kama huo
Yeye mwnyw Ndo hatak kunifanya wa malengo.Unaona Sasa!kwenye fasihi tulijifunza nafasi ya mwanamke katika jamii,,,Sasa nafasi ya mama J hapa inaoneka Kama mwanamke Ni Chombo Cha starehe na kiburudisho.......Dah unamtumia Sana bila malengo huyo mdad
Itabidi anyang'anywe funguo kwa kweliBodaboda mzembe Sana,
Sema Nadhan alichukulia mwanamke Ndo amuanze,wkt mazingira yote yalikua wazi kumaliza.