Nimeharibu mahusiano ya mchepuko wangu na bodaboda wake

Je hauhisi Kama hiyo mimba baadae angesema Ni yako ?endapo usingegundua ukaribu wao huo?na mkarudiana na mpenzio?
 
Boss Kodi ya meza huwa Ni shilingi ngapi?
 
Nimesoma hbr hi kuanziaa saa kumi na moja jioni nimemaliza sas HV saa 6:21 pm
Nilliacha kwenda kufatiia isshu zangu hapa tegeta kibo nimejibana magerejini hapa nakufatilia hu mkasa wa mchepuko wako

Aise isje kuwa uantunga
 
Sema dah!kama ni mimi ningeshuhudia tukio la boda na mwanamke wangu,hio ndio ingekuwa mwisho,anajirahisishaje hivo.
 
Naomba iwe kama isidingo isiishe kabisa sema ningeoensa kujua lile pangale muliishia wapi sikuwa hewani kabisa
 
Nimesoma hbr hi kuanziaa saa kumi na moja jioni nimemaliza sas HV saa 6:21 pm
Nilliacha kwenda kufatiia isshu zangu hapa tegeta kibo nimejibana magerejini hapa nakufatilia hu mkasa wa mchepuko wako

Aise isje kuwa uantunga
Very real,
Kuna voices nilisharekodi tulikua tunabishana na Mchepuko nilitaman niziweke humu mumskie live.

Ila Sema nimehofia kujua identity Maana Mchepuko alikua anataka jina KABISA na location[emoji4]
 
Hii ndefu sana ,nimeshindwa kuimaliza
 
The universe is not fair for blessing such kind of people! Money buy souls!

Vitu nilivyopenda kwenye hii stori unafamilia Tena Inayo abudu, unamiliki biashara yako unagari na bilashaka unanyumba japo sio part ya stori.

Hayo mengine hapana if it takes such character to be successful, for me it's better to loose it all!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…