Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Wanaosema haupo wanaigizatu.
Nina rafiki yangu mlokole mapema mwaka huu alijikuta amelala nje na bukta na kuamshwa na wapangaji wenzie. Alipoingia ndani chumbani kwake pamefungwa wakajikuta wanavunja kitasa.
Usicheze na miziziology.
Yani labda mtu aseme anajua uchawi upo ila yeye haamini kwamba atadhiriwa na uchawi,huyo unaweza ukaanza kujadiliana nae lakini anaesema hakuna uchawi wakati umejadiliwa kwenye vitabu vitukufu vya Mungu hapo nitakuona chupa inapoza.
 
Wanaosema haupo wanaigizatu.
Nina rafiki yangu mlokole mapema mwaka huu alijikuta amelala nje na bukta na kuamshwa na wapangaji wenzie. Alipoingia ndani chumbani kwake pamefungwa wakajikuta wanavunja kitasa.
Usicheze na miziziology.
Yani labda mtu aseme anajua uchawi upo ila yeye haamini kwamba atadhiriwa na uchawi,huyo unaweza ukaanza kujadiliana nae lakini anaesema hakuna uchawi wakati umejadiliwa kwenye vitabu vitukufu vya Mungu hapo nitakuona chupa inapoza.
Halafu alipoamka akaanza kuitangaza injili au ilikuwaje! Kusema ni mlokole si shida, nguvu inakuja je! Imani na Matendo vinaenda pamoja?
 
ashukuru mungu gani? hawa wa hivi ndo wachawi haswaaa!! usiwaone poa!! hizi ndo tabia zao kutoteza watu!! nilisha muona hapa kwa matunguli yangu
Ni wachawi kweli ukiongelea uchawi wanavyokupinga ila kutwa kwenye viringe jiulize huwa wanafuata nini!
 
member wa jf kushindwa kuamini uchawi wakati humu kuna mchawi pro max ni kujitakia tuu
 
Halafu alipoamka akaanza kuitangaza injili au ilikuwaje! Kusema ni mlokole si shida, nguvu inakuja je! Imani na Matendo vinaenda pamoja?
Alihama nyumba kabla ya miezi mitatu kodi kuisha
Uchawi upo labda mtu akatae kama nguvu ya uchawi haimdhuru
 
Story za kusadikika hizo. Hata mimi naweza kuandika kisa hapa kuhalalisha uwepo wa uchawi ila haimaanishi kuwa hiyo story ni ya kweli. Story zote za uchawi ni hearsay, mtu anasimuliwa nae anaenda kusimulia by the time story inamrudia muasisi ishabadilika na kuongezewa chumvi zaidi.

Aidha sio kila kitu ambacho hakina rational explanation ni uchawi.

Uchawi ni story zinazoaminiwa na wavivu wa kufikiri na kuenezwa na wajinga.
mchawi ana akili anataka watu wenye impact kwa jamii. Wenye nyota zinazo waka yamkini watoto wa Mungu.

Km una kimavi mchawi hakutaki akupeleke wapi??? Wkt ni mwenzake tuu??hata hiyo shetani anakuzidi kwa ubora sasa wa nini wewe??
Madhara yake huyo shetani kamwe hutayajua!!maana weye ni mwenzake

Mdarisalama hawezi kumshobokea mwanakijiji. Tajiri km marehemu Mengi hashoboki kwa maskini...

Sawa na jike akili timamu kutamani jike lenzake haliwezi kumtundika mimba.likapata watoto!!
 
mchawi ana akili anataka watu wenye impact kwa jamii. Wenye nyota zinazo waka yamkini watoto wa Mungu.

Km una kimavi mchawi hakutaki akupeleke wapi??? Wkt ni mwenzake tuu??hata hiyo shetani anakuzidi kwa ubora sasa wa nini wewe??
Madhara yake huyo shetani kamwe hutayajua!!maana weye ni mwenzake

Mdarisalama hawezi kumshobokea mwanakijiji. Tajiri km marehemu Mengi hashoboki kwa maskini...

Sawa na jike akili timamu kutamani jike lenzake haliwezi kumtundika mimba.likapata watoto!!

Okoa nguvu na muda niroge kesho nisije jukwani.
 
Okoa nguvu na muda niroge kesho nisije jukwani.
Nikuroge weye maskini???!!! Loool! Ni matumizi mabaya ya uchawi!!

Tunaokoa uhai/watu,siyo muda, kasome tena! wokovu wa nguvu ni theories za kuzimu. Umedanganywa na padri wako!
 
Muwe mnasikia tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta ndo mtaijua anaeisimulia mvua basi iliwahi kumnyeshea,

Nguvu za giza haziwezi kuonekana kwa macho yetu ya kawaida wala kupimwa na vifaa vya kisayansi, Aliedhuriwa na haya mambo kumbishia ni sawa na kumbishia mtu kaota ndoto fulani maana huwezi kuhakikisha alichoota, haiwezekani, hata mtu akirogwa bado ipo gizani ndio mana hata ukienda hospitalini utaambiwa mashine haziwezi kugundua chanzo cha ugonjwa wako

Binafsi nilikaa nyumba moja, ikifika saa saba kuna vishindo mithiri ya mtu anakwangua ukuta kwa nondo, na hii ilikuwa kwa wapangaji wote ila ukitoka nje kucheku huko nyuma hakuna kitu.

Ni mpaka siku moja mida hio saa saba kikalia kishindo kikubwa sana paaaa! juu ya bati kila mpangaji alitoka nje ila hakukuonekana kitu, baada ya kufatilia kumbe kuna mlangaji moja alikuwa anateswa na hawa watu usiku, babu yake alikuja siku hio hapo na kuweka mtego wake.

Tukio lengine kuna mtoto moja alikuwa na miaka mitano alikuwa mzima wa afya, ghafla akawa kipofu, kiziwi na hata kushindwa kuongea, Wazazi wake wakagundua hii hali si kawaida, walimpeleka hospitali nyingi muhimbili, kcmc, n.k ilibidi apelekwe kijijini kwa mzee wake, siku hio hio walirudi na mtoto akawa hali ya kawaida kabisa

Hapo zamani sijui kama sikuhizi bado vipo, Mashuleni ya porini huko boarding visa vya wanafunzi kukutana na vibwengo ilikuwa ni kawaida sana

Mwengine nakumbuka alivimba sana miguu, walimsihi sana waende kwao kuchekiwa ila alikua haamini hvi vitu, hata miezi miwili haikufika tukamzika.
Mkuu,ni kweli uchawi upo,lkn tusiupe promo Kiasi Cha kusahau yupo Mungu mweza wa yote,yeye ndiye muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
 
Jamaa mara kibao tu anajikuta kalazwa chooni wahuni wanakula mzigo kwa mkewe, mume akiulizwa kwa nini anapiga mzigo usingizini anashangaa tu
 
Nikuroge weye maskini???!!! Loool! Ni matumizi mabaya ya uchawi!!

Tunaokoa uhai/watu,siyo muda, kasome tena! wokovu wa nguvu ni theories za kuzimu. Umedanganywa na padri wako!

Watu mnaoamini uchawi mnachekesha sana kama dishi limeyumba.

To each their own. More power to you.
 
Watu mnaoamini uchawi mnachekesha sana kama dishi limeyumba.

To each their own. More power to you.
Let me tell u somethin! Dat u!ll never know!! en i think u know but hypocrisy is ur'prob.

"witchcrafts has been there for centuries till today!! its operating in a broad day light" deceive u not!

If not so! think twice what do u own personally!!!
 
Back
Top Bottom