Nimehukumiwa kunyongwa

Nimehukumiwa kunyongwa

Habari za usiku mabibi na mabwana

Mpaka muda huu naandika uzi huu mwenzenu sijielewiiii kabisaaaaa na nahisi nibora nijilipue mwenyewe kuliko kitendo cha kunyongwa


Kwahiyo msiponiona mazima msishangae wapendwa ndoivo nitakua nishakufa mwenzenu sio mimi tena.
Labda wakiri wangu akate rufaa ila hukumu ishatoka nanyongwa mimi

Nichukue nafasi hii kuomba radhi yeyote yule niliemkwaza kumkosea intentionally or unintentionally..

Tusiache kuombeana ndugu


Amani tele itawale mioyoni mwenu. Amina

Smart911 sweetheart I don't know how my life would be without you. You are my everything Smart911 my everything.......

love you sana


Wakili wako wa moyo kakutema, pole sana. Dushelele si lelemama....lina raha yake lile na ukichanganisha na joto mwanana ndio basi raha bin vuuuuuu. Usife moyo lakini, kunywa maziwa mgando ukalale. Ukihamka salama nenda kanisani utampata wakili mwingine wa moyo na huenda akawa na dushelele tamu zaidi ya hilo lililokukimbia. [HASHTAG]#HeshimuniMadushelele[/HASHTAG]
 
Wakili wako wa moyo kakutema, pole sana. Dushelele si lelemama....lina raha yake lile na ukichanganisha na joto mwanana ndio basi raha bin vuuuuuu. Usife moyo lakini, kunywa maziwa mgando ukalale. Ukihamka salama nenda kanisani utampata wakili mwingine wa moyo na huenda akawa na dushelele tamu zaidi ya hilo lililokukimbia. [HASHTAG]#HeshimuniMadushelele[/HASHTAG]


Weeeeeeeeeeeeeeeeeeh

thubutuuuuu

Najua wanatamani sana niachwe khakhaakhaa

Nacheka kwa dharaaaaaaaaaaaaaaaaauuuu
 
Habari za usiku mabibi na mabwana

Mpaka muda huu naandika uzi huu mwenzenu sijielewiiii kabisaaaaa na nahisi nibora nijilipue mwenyewe kuliko kitendo cha kunyongwa


Kwahiyo msiponiona mazima msishangae wapendwa ndoivo nitakua nishakufa mwenzenu sio mimi tena.
Labda wakiri wangu akate rufaa ila hukumu ishatoka nanyongwa mimi

Nichukue nafasi hii kuomba radhi yeyote yule niliemkwaza kumkosea intentionally or unintentionally..

Tusiache kuombeana ndugu


Amani tele itawale mioyoni mwenu. Amina

Smart911 sweetheart I don't know how my life would be without you. You are my everything Smart911 my everything.......

love you sana

Kumbe hata warembo wanaongeaga pumba
 
Umehukumiwa kunyongwa au umejinyonga mwenyewe " H.I.V" positive.
 
Habari za usiku mabibi na mabwana

Mpaka muda huu naandika uzi huu mwenzenu sijielewiiii kabisaaaaa na nahisi nibora nijilipue mwenyewe kuliko kitendo cha kunyongwa


Kwahiyo msiponiona mazima msishangae wapendwa ndoivo nitakua nishakufa mwenzenu sio mimi tena.
Labda wakiri wangu akate rufaa ila hukumu ishatoka nanyongwa mimi

Nichukue nafasi hii kuomba radhi yeyote yule niliemkwaza kumkosea intentionally or unintentionally..

Tusiache kuombeana ndugu


Amani tele itawale mioyoni mwenu. Amina

Smart911 sweetheart I don't know how my life would be without you. You are my everything Smart911 my everything.......

love you sana
Unyongwe Salama,,

Ufikie Kuzimu Kabisa
 
Back
Top Bottom