Nimehuzunishwa kama si kusikitishwa na Kauli za Mwigulu Nchemba kuelekea mechi ya Derby

Nimehuzunishwa kama si kusikitishwa na Kauli za Mwigulu Nchemba kuelekea mechi ya Derby

pesakilakitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,618
Reaction score
2,861
Katika kampeni iliyoanzishwa na Benki ya NBC ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu, mimi kama mdau wa mpira nimeshangazwa kama si kuchekeshwa na kusikitishwa na Kauli za Mwigulu, kwanza ametoa tuhuma kuwa uwanja tena eti wenye jina maalum kwamba pametolewa penati tatu, yeye anaujua mpira ama anaongea kisiasa na kishabiki ,,kwamba zile penati zilitolewa Bure?

Kwamba mchezaji akiangushwa kwenye eneo la hatari refa acheke akenue meno mpira uendelee kwa sababu uwanja unaitwa jina la Waziri mkuu? Siasa hazitakiwi kwenye mpira na ushabiki usio na mantiki sababu ni shabiki wa timu mmojawapo isikufanye uwe shabiki usiejielewa na unayeongozwa na mihemko.

Wewe kama Waziri unatakiwa ku deal na Hali ya uchumi wa nchi, Kuna matatizo mengi, wananchi ni masikini, deni la taifa linazidi kukua kila kukichwa, unapata wapi muda wa kuongelea mambo ya Simba na Yanga, unapata wapi muda wa ushabiki maandazi?
 
Ajiuzulu uwaziri akagombee urais wa TFF.
Kama siyo Mwigulu Yanga ingekuwa nafasi ya nne ligi kuu.
Ni aibu sana mkuu na watu wamekaa wanamsikiliza..mim ningekua kiongoz wa Simba ningeondoka kwenye Hilo eneo, hizo ni dharau kubwa sana kwamba sababu uwanja unaitwa jina la Waziri mkuu basi watu wakikiuka Sheria 17 za soka basi refa atikise makalio
 
Kwanza Kassim Majaliwa na Samia ni wanasimba lialia ila tu huwa hawapendi kujionesha kwa sababu ya status zao. Ila Mwigulu huwa anajionesha waziwazi kuwa ni mwanayanga lialia.
 
Kwanza Kassim Majaliwa na Samia ni wanasimba lialia ila tu huwa hawapendi kujionesha kwa sababu ya status zao. Ila Mwigulu huwa anajionesha waziwazi kuwa ni mwanayanga lialia.
Mwigulu hivi ni daktari wa nini? Mimi huwa simuelewi kabisa!
 
Mwalimu Nyerere aliwahi Kunukuliwa akisema
"Wanasiasa wana Tabia ya malaya Umalaya"

Mwalimu Jk Nyerere.
 
Ulisikitishwa na kauli yake ya kwamba "tozo lazima ziendelee kama hutaki hamia Burundi.."
 
Tokea hii wiki ya mchezo wa simba na yanga ianze nmeona threads za malalamiko ya mashabiki wa Simba zikiwa nyingi humu, malamiko kwa Mo, mawaziri, Mangungu, Engeneer, GSM, TFF, Karia, Marefa! Nawaza baada ya hii match watageukiana hawa👐👐🤣
 
Katika kampeni iliyoanzishwa na Benki ya NBC ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu, mimi kama mdau wa mpira nimeshangazwa kama si kuchekeshwa na kusikitishwa na Kauli za Mwigulu, kwanza ametoa tuhuma kuwa uwanja tena eti wenye jina maalum kwamba pametolewa penati tatu, yeye anaujua mpira ama anaongea kisiasa na kishabiki ,,kwamba zile penati zilitolewa Bure?

Kwamba mchezaji akiangushwa kwenye eneo la hatari refa acheke akenue meno mpira uendelee kwa sababu uwanja unaitwa jina la Waziri mkuu? Siasa hazitakiwi kwenye mpira na ushabiki usio na mantiki sababu ni shabiki wa timu mmojawapo isikufanye uwe shabiki usiejielewa na unayeongozwa na mihemko.

Wewe kama Waziri unatakiwa ku deal na Hali ya uchumi wa nchi, Kuna matatizo mengi, wananchi ni masikini, deni la taifa linazidi kukua kila kukichwa, unapata wapi muda wa kuongelea mambo ya Simba na Yanga, unapata wapi muda wa ushabiki maandazi?
Ukisikia gsm ni paka tu,na ujue katumwa tu mchawi mtu.
Bila mtu nyuma mwiko wangekuwa wanajitafuta nafasi ya nne.


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo VAR ingezuia hizo penati?.Alafu huyu bwana ana maslahi gani na hizo mashineza VAR?maana anavyozipigia debe si bure.
 
Katika kampeni iliyoanzishwa na Benki ya NBC ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu, mimi kama mdau wa mpira nimeshangazwa kama si kuchekeshwa na kusikitishwa na Kauli za Mwigulu, kwanza ametoa tuhuma kuwa uwanja tena eti wenye jina maalum kwamba pametolewa penati tatu, yeye anaujua mpira ama anaongea kisiasa na kishabiki ,,kwamba zile penati zilitolewa Bure?

Kwamba mchezaji akiangushwa kwenye eneo la hatari refa acheke akenue meno mpira uendelee kwa sababu uwanja unaitwa jina la Waziri mkuu? Siasa hazitakiwi kwenye mpira na ushabiki usio na mantiki sababu ni shabiki wa timu mmojawapo isikufanye uwe shabiki usiejielewa na unayeongozwa na mihemko.

Wewe kama Waziri unatakiwa ku deal na Hali ya uchumi wa nchi, Kuna matatizo mengi, wananchi ni masikini, deni la taifa linazidi kukua kila kukichwa, unapata wapi muda wa kuongelea mambo ya Simba na Yanga, unapata wapi muda wa ushabiki maandazi?
Nyongoio imeishaaaaa subiri kichapoo na timu lakooo
 
Katika kampeni iliyoanzishwa na Benki ya NBC ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu, mimi kama mdau wa mpira nimeshangazwa kama si kuchekeshwa na kusikitishwa na Kauli za Mwigulu, kwanza ametoa tuhuma kuwa uwanja tena eti wenye jina maalum kwamba pametolewa penati tatu, yeye anaujua mpira ama anaongea kisiasa na kishabiki ,,kwamba zile penati zilitolewa Bure?

Kwamba mchezaji akiangushwa kwenye eneo la hatari refa acheke akenue meno mpira uendelee kwa sababu uwanja unaitwa jina la Waziri mkuu? Siasa hazitakiwi kwenye mpira na ushabiki usio na mantiki sababu ni shabiki wa timu mmojawapo isikufanye uwe shabiki usiejielewa na unayeongozwa na mihemko.

Wewe kama Waziri unatakiwa ku deal na Hali ya uchumi wa nchi, Kuna matatizo mengi, wananchi ni masikini, deni la taifa linazidi kukua kila kukichwa, unapata wapi muda wa kuongelea mambo ya Simba na Yanga, unapata wapi muda wa ushabiki maandazi?
Unacomplicate mambo tu. Hii mechi ni zaidi ya Derby. Ni mechi ya watani na utani una namna maneno yake na mara nyingi ni ili mtani akereke. Maisha hayako serious hivyo. Mwigulu ni mwananchi kama wananchi wengine. Kwanza mnaujua utani uliopo kati ya Mh. Mwigulu na Mh. Majaliwa?

Acheni watu wawe huru na timu zao
 
Kwanza Kassim Majaliwa na Samia ni wanasimba lialia ila tu huwa hawapendi kujionesha kwa sababu ya status zao. Ila Mwigulu huwa anajionesha waziwazi kuwa ni mwanayanga lialia.
Uongo mtupu. Mh. Waziri mkuu hajawahi ficha ushabiki wake kwa Simba. Huwa anasema na kujionyesha wazi. Na Mwigulu alitoa maneno yale ya utani kuelekea kwa Waziri mkuu kama sehemu ya kujibu mashambulizi anayopata toka kwake. Fuatilia upya mkuu.

Fuatilia utani wa Waziri wa maji Jumaa kuelekea kwa Hersi alipokuwa Tanga ziarani pamoja na mama namba moja nchini. Ule ni utani wa kawaida wao wanafahamiana tusishupaze shingo kwa yasiyo tuhusu.
 
Katika kampeni iliyoanzishwa na Benki ya NBC ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu, mimi kama mdau wa mpira nimeshangazwa kama si kuchekeshwa na kusikitishwa na Kauli za Mwigulu, kwanza ametoa tuhuma kuwa uwanja tena eti wenye jina maalum kwamba pametolewa penati tatu, yeye anaujua mpira ama anaongea kisiasa na kishabiki ,,kwamba zile penati zilitolewa Bure?

Kwamba mchezaji akiangushwa kwenye eneo la hatari refa acheke akenue meno mpira uendelee kwa sababu uwanja unaitwa jina la Waziri mkuu? Siasa hazitakiwi kwenye mpira na ushabiki usio na mantiki sababu ni shabiki wa timu mmojawapo isikufanye uwe shabiki usiejielewa na unayeongozwa na mihemko.

Wewe kama Waziri unatakiwa ku deal na Hali ya uchumi wa nchi, Kuna matatizo mengi, wananchi ni masikini, deni la taifa linazidi kukua kila kukichwa, unapata wapi muda wa kuongelea mambo ya Simba na Yanga, unapata wapi muda wa ushabiki maandazi?
Yupo sahihi haiwezakani timu kila match inapewa penati siupumbavu huo pambaneni nyie Makolo lazima mkae jmosi
 
Back
Top Bottom