Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Nani asiyejua Mwigulu ni chura, nani asiejua PM ni koro.
Nje ya siasa na uongozi na wao ni mashabiki lialia kama wewe.
Nje ya siasa na uongozi na wao ni mashabiki lialia kama wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajiuzulu uwaziri akagombee urais wa TFF.
Kama siyo Mwigulu Yanga ingekuwa nafasi ya nne ligi kuu.
Hebu tuwekee ile video Madilu anacheza wimbo wa Yanga Afrika wa Pepe Kalle hakika ni burudani kubwa mno. Huyu Waziri ni mtu mkweli kwa kuweka wazi his bias kwamba ni shabiki namba moja wa Yanga, sidhani kuna ubaya wowote, maana sote tuna upande tunashabikia kama si Yanga ni Simba, mwanangu ni Simba namimi namvalisha jezi za Yanga.Ajiuzulu uwaziri akagombee urais wa TFF.
Kama siyo Mwigulu Yanga ingekuwa nafasi ya nne ligi kuu.
Dr wa mifugo, alisema enzi za utoto wake alikuwa mchunga ng'ombeMwigulu hivi ni daktari wa nini? Mimi huwa simuelewi kabisa!