🤣🤣🤣🤣🤣Sa itakuwaje??samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu.
Nimekunyw mbege hapa kidogo tu sijaewa😀Visungura na jua kali bhana.
View attachment 2623989
Naweza kuamua kukasirika au kutabasamu ila still I am Gru. Anataka kuniibia mademu zangu😬
View attachment 2623990View attachment 2623991View attachment 2623992
alaaaaa ina maana ule uzi wa Equation x anadai hili goma ni lake anatuchimba beat ni geresha😀Mademu gani?
Si tulikubaliana wanaJF wote ni Me?