Akuuunjoo bana wenzako wote wamenipiga chaga....
mtoto huyo nimekupassia usuuzie rungu bro 😂Yeah hakuna mwingine 😄
Anatupanga, sitaki tena😂Mpe nafasi kijana😄 acha hizo
mshamba_hachekwi mtaka mawili kwa pupa moja hunponyokaAnatupanga, sitaki tena😂
hawa mabinti waJF jau tu hawashikiki.... acha nihangaike na wanachuo wenzangu.... mtoto mzuri Ms eyes leo uje kule tuselfike😂 I'm addicted to you....mshamba_hachekwi mtaka mawili kwa pupa moja hunponyoka
Ataniumiza 😂mshamba_hachekwi mtaka mawili kwa pupa moja hunponyoka
na mimi ntaselfika usijali babeAaah wewe😂
nini tena bro 😅hahah mbona hujiamini?
Tumuache aanze😂hahah mbona hujiamini?
😂 Anatupanga sana jamani.ngoj afunguke mpe mda
Wewe mwanamke huwa nakupenda sana ujueNikajua ni kitambulisho cha taifa