witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Afadhali na ww useme...yani jamaa anajitoa ufahamu kuwa hamna mitapeli humu JF? Au zuga?..kila siku watu wana bandiko zao humu jinsi walivyotapeliwa!mkuu m nmepigwa humhum jf, na nikatoa taarifa ila sikusaidiwa, jamaa alisema anaweza kuunganisha dish za kawaida nikapata za mpira, mwanaume nikamlipa asee kanipiga mpaka leo biashara ya mtandao sifanyi, hum jf wapo wengi,