Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila eneo kuna Camera, rudi wataangalia, kuna jamaa hivyo hivyo kumbe kaviacha huko kwa motokaa nje.Nimetumia huu uwanja Tar 28.03.2024 nikienda Qatar. Nafika Qatar mashine yangu ya Pressure na perfume havimo kwenye bag ambalo nili check in. Aibu sana kwa Kweli.
Unadhani lock inazuia wezi? Sijui huwa wanafanyaje lakini nishaibiwa wakati sanduku lilikuwa na lock. Ni Johanesburg lakini. Lock, pengine iwe ni ziwe lock complicated na sanduku liwe zuri ki-uimara.Kwanini huku-lock hiyo bag???
Anataka kuchafua nchi yetuTukuaminije mkuu
Huyu aliyekuibia mashine ya pressure alidhani hiyo mashine ndiyo inayotengeneza hiyo perfume, wabongo wana matatizo sana.Nimetumia huu uwanja Tar 28.03.2024 nikienda Qatar. Nafika Qatar mashine yangu ya Pressure na perfume havimo kwenye bag ambalo nili check in. Aibu sana kwa Kweli.
JF interpol wamekusikia.Nimetumia huu uwanja Tar 28.03.2024 nikienda Qatar. Nafika Qatar mashine yangu ya Pressure na perfume havimo kwenye bag ambalo nili check in. Aibu sana kwa Kweli.
Unadhani lock inazuia wezi? Sijui huwa wanafanyaje lakini nishaibiwa wakati sanduku lilikuwa na lock. Ni Johanesburg lakini. Lock, pengine iwe ni ziwe lock complicated na sanduku liwe zuri ki-uimara.
Naamini ni ile KUKOMAA KWAMBA YULE NA HUYU NI WAMOJA,wakati yule tunamuangalia Kwa picha mbovu sana,halafu kutaka kuwajibujibu "WAZEE",Wazee ni dawa,huwezi kushindananao!.Nimetumia huu uwanja Tar 28.03.2024 nikienda Qatar. Nafika Qatar mashine yangu ya Pressure na perfume havimo kwenye bag ambalo nili check in. Aibu sana kwa Kweli.
Zipu huwa kuna kitu wanafanya as mzigo wangu uikuwa oversize ilibidi staff aondoke nao kwenye trolley haukuwekwa kwenye conveyor belt.Kwanini huku-lock hiyo bag???
Sidhani kuandika kitu kama hiki cha uongo nanufaika na nini. Najua sitavipata fine lengo langu kuweka awareness kwa wasafiri wengine kuwa pale si salama. Kama nadanganya wa track begi langu nimeli identify.Tukuaminije mkuu
Sijui kama unajua unachoandika. Nitoke huku nilipo kwenda kuangalia cctv? Unajua how to access cctv siyo kama unavyofikiria. Inaonyesha upeo wako ukoje either mkubwa sana au otherwise. Ni sensible ukiacha ku comment kuliko ulivyo comment.CCTV zipo kaangalie
Nirudi kuangalia Kamera are you real?Kila eneo kuna Camera, rudi wataangalia, kuna jamaa hivyo hivyo kumbe kaviacha huko kwa motokaa nje.