Namna ya kumrudisha mwizi aliyekuibia
kumkamata au kumrudisha mwizi aje mwenyewe
unamchukua kinyonga akiwa mzima,
unaponda majani ya kisamvu,
unachukua na changarawe za njiani
huyo kinyonga unamuweka kwenye hayo majani ya kisamvu pamoja na hizo changarawe unafunga kwa kwenye kitambaa cheusi
halafu unafunga jikoni kwenye sehemu inayopata moshi
utamuacha hapo kwa muda wa siku7 baada siku 7 unamtoa hapo kwenye moshi unamsaga ukiwa umefumba macho halafu unaenda kufunga kwenye mti kwa muda wa siku7
kabla siku7 hazijaisha mwizi wako atarudi mwenyewe na kama mwizi yupo humo ndani atajisalimisha mwenyewe mara moja Tumia dawa kisha uje utupe Mrejesho wako.
chanzo.Herbalist MziziMkavu.