Nimeibiwa vitu vyote vya ndani

Kama ni Azam wapigie watakusidia kuna jamaa aliibiwa kingamuzi jamaa aliyauziwa kikaharibika akapeleka azam kutengeneza.siku kimepona azam wanampigia mmiliki akachukue kingamuzi chake hivyo yule jamaa akashindwa kufuata kwasababu majini yake na mmiliki ni tofauti
 
nimeipenda hii nikipata tatizo nao nitakutafuta
 
Ingekua TANGA, Lindi, Mbeya au. Kigoma kweli asingepona mtu. Lkn kwa hapo Moshi! Punguza jazba ujipange Tena.
Ila huyo mama jirani mwenye wowowo na macho mekundu huo mchongo anaufahamu.
Acha matusi wewe, Moshi demu mwenye wowowo ampate wapi?
 
Huu ni uchawi au ni tiba ya mitishamba kamaunavyoiita
 
Pole,lajini ungetuelwza vizuri wizi huo umetokwa mji gani na mtaa upi tunaweza kukusaidia
 
Namie nimeibiwa. Juzi usiku. Kadeti zangu zinaniuma sana
 
Waganga wa kienyeji nn!??
 
Waliwahi kunipiga jiko langu la gesi Mbagala kwa mangaya. Sina hamu nao
 
Pole sana Mkuu

Piga maombi Mungu atazungumza nao tuu... au kama vipi tafuta mtaalamu haswa awaguse kidogo tuu yatembee barabarani yakijikojolea.

Au yakilala yakose usingizi kazi iwe ni kujikuna hadi asubuhi.
Chief umemix mambo hapo tayali mungu na mtaalamu kwa pamoja🤣🤣🤣
 
Lo pole
 
Scars unadhani na hapa watakua walichongesha funguo za getto la mshikaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…