Kumlala mwanamke ni kumdhalilisha mkuu? Thibisha.Huwezi kuaaidia mpaka umlale? Fikiria Kwa ndugu zako wa kike pia hali ni ngumu kama unasaidia saidia tu bila kidharirisha wadada wa watu.
We jamaa umenifanya nicheke kifala sanaaa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Nimepita hiyo mitaa nimemuona mmewe na manzi wapo ofisi ya serikali ya mtaa.Nilivyowasikia ni kwamba wanataka kumleta manzi uendelee kuishi naye.Noma kinoma.
cc:ZeroIQ
Nyie jamaaa Leo mmejua kunichekesha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 iseeeOndoka nazo kwenye mfuko wa "Rambo"!Zitakusaidia maisha ya utoro njiani.Rara mbere!Ooohooo!
Kaka Hela kasema anarudisha lini? Maana sioni dalili ya kurejeshaAisee kama zari alfajiri hii kumi na moja ya leo kushituka napokea sms ya kuombwa buku tano na manzi flani hivi ya mtu, mtoto mashalah kama pisi ya willium kiasi kwamba nilikuwa nahofia sana kumtongoza kwa ule muonekano wake na jinsi alivyojazia,(tunakaa mtaa mmoja)
Sasa leo si Ndio kanitext anaomba nimback up buku tano amekwama anataka kuongezea kupeleka kwenye marejesho yao vikoba saa mbili,
"naomba tena naomba sana ata kama kunikopea sawa nitakurejeshea, nimekwama sana ndugu pliz" hii ilikuwa meseji yake ya kukazia kwa kile alichokuwa akiomba,
Zero bila iyana nikamjibu tu sawa ila niko na cash tu kwa simu sina hela alafu mawakala wanachelewa kufungua sasa sijui tunafanyaje kama unaweza uje kuchukua hapa kwangu muda huu kabla ya saa moja,
Kwa maana nina ratiba za kwenda mjini kuchukua viazi, nyama na tray za mayai "kwa ajiri ya pale kiwandani kwangu"
Alinijibu tu ok"nikajua labda amepotezea ",
ila mida kama ya saa kumi na mbili hivi saa moja kasoro napokea text amekaribia nitoke ili nimpatie hiyo hela nikamjibu sawa,
Alivyofika tu, nikamkaribisha ndani na kumtania aje ata atie baraka tu tunywe na chai maana nilishapika ninywe ili niende maangaikoni,
Mtoto akajichekesha chekesha mwisho akazama ndani.
Kama utani akafikia kitandani wandugu, "gheto sina kochi"
Nikatoa buku tano nikampa kwa mkono then nikakisi kiganja chake ndio ikawa kama nimemroga,
Nikamuona tu anatabasamu nikazuga kama nataka nimbusu shavuni akanisogezea mie huyu nikauturn mdomoni si akapokea ndio mchezo ukaanzia hapo.
Nikajichakatia zangu kadhaa kwa ustadi kabisa, mwisho nikamwambia sorry kama nilikuwa nimefanya kosa,,
Akaishia kujichekesha tu mwisho akasema usijari mimi mwenyewe nimeinjoi sema tu nina ratiba zingine na wewe pia,
Tafuta muda na siku nzuri ya kuinjoi zaidi mi na wewe, akanibusu huyo akafungua mlango na kutoka.
Sikuamini kwa kweli kama nimemenya pisi niliyoikubari kirahisi hivyo aisee.
Ashukuriwe sana aliyeanzisha hivyo vikoba kusema kweli ameupiga mwingi,
Ameupiga mwingi sio utani.
Cc Zero IQ.
Hivi hawa kwani ni vijana au watoto?Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
Ahahahahah,,, we zero iq unamadhari mwanangu zakuchakata kimasiara papuchi duh noma sana, afu mwanangu unitumie location next week ntakuwa Dom hapo japo nije nijipatie viazi kwenye kiwanda chako apo mana naweza na mm nkajiopoleamo kapisi kamoja nikaenda kura kimasiara na mmAisee kama zari alfajiri hii kumi na moja ya leo kushituka napokea sms ya kuombwa buku tano na manzi flani hivi ya mtu, mtoto mashalah kama pisi ya willium kiasi kwamba nilikuwa nahofia sana kumtongoza kwa ule muonekano wake na jinsi alivyojazia,(tunakaa mtaa mmoja)
Sasa leo si Ndio kanitext anaomba nimback up buku tano amekwama anataka kuongezea kupeleka kwenye marejesho yao vikoba saa mbili,
"naomba tena naomba sana ata kama kunikopea sawa nitakurejeshea, nimekwama sana ndugu pliz" hii ilikuwa meseji yake ya kukazia kwa kile alichokuwa akiomba,
Zero bila iyana nikamjibu tu sawa ila niko na cash tu kwa simu sina hela alafu mawakala wanachelewa kufungua sasa sijui tunafanyaje kama unaweza uje kuchukua hapa kwangu muda huu kabla ya saa moja,
Kwa maana nina ratiba za kwenda mjini kuchukua viazi, nyama na tray za mayai "kwa ajiri ya pale kiwandani kwangu"
Alinijibu tu ok"nikajua labda amepotezea ",
ila mida kama ya saa kumi na mbili hivi saa moja kasoro napokea text amekaribia nitoke ili nimpatie hiyo hela nikamjibu sawa,
Alivyofika tu, nikamkaribisha ndani na kumtania aje ata atie baraka tu tunywe na chai maana nilishapika ninywe ili niende maangaikoni,
Mtoto akajichekesha chekesha mwisho akazama ndani.
Kama utani akafikia kitandani wandugu, "gheto sina kochi"
Nikatoa buku tano nikampa kwa mkono then nikakisi kiganja chake ndio ikawa kama nimemroga,
Nikamuona tu anatabasamu nikazuga kama nataka nimbusu shavuni akanisogezea mie huyu nikauturn mdomoni si akapokea ndio mchezo ukaanzia hapo.
Nikajichakatia zangu kadhaa kwa ustadi kabisa, mwisho nikamwambia sorry kama nilikuwa nimefanya kosa,,
Akaishia kujichekesha tu mwisho akasema usijari mimi mwenyewe nimeinjoi sema tu nina ratiba zingine na wewe pia,
Tafuta muda na siku nzuri ya kuinjoi zaidi mi na wewe, akanibusu huyo akafungua mlango na kutoka.
Sikuamini kwa kweli kama nimemenya pisi niliyoikubari kirahisi hivyo aisee.
Ashukuriwe sana aliyeanzisha hivyo vikoba kusema kweli ameupiga mwingi,
Ameupiga mwingi sio utani.
Cc Zero IQ.
Sio kwamba umelipia ule 'uchakataji'? Halafu ukute wewe ni wa pili au zaidi 'kuchakata' ili kufikia marejesho ya mwezi huo. Na ujiandae kuchangia marejesho kila mwezi na miezi mingine bila 'uchakataji'!Kanikopa mkuu lazima irudi
Na kuna uwezekano miezi mingine hatapewa nafasi ya 'kuchakata'.Tayariii... Piga mbususu halafu hela ya vicoba inakuwa jukumu lako tangu hiyo elfu ya leo na kuendelea
Hiyo ni endelevu, muda wowote akitaka anapewa. Watu na nyota zao mkuu. Kaoge maji ya bahari utoe gundu lako.Na kuna uwezekano miezi mingine hatapewa nafasi ya 'kuchakata'.
Lazima anirudishie hilo ni deni mkuuSio kwamba umelipia ule 'uchakataji'? Halafu ukute wewe ni wa pili au zaidi 'kuchakata' ili kufikia marejesho ya mwezi huo. Na ujiandae kuchangia marejesho kila mwezi na miezi mingine bila 'uchakataji'!
Wewe nae ni mwananchi wa Samia Suluhu?Nikiwa dodoma bila kuja kwenye hiko kiwanda ntahisi kama sijatembea dodoma.