African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
Nimeweka link ya kuidownload. Ukidownload utaweza kuiona vizuri zaidiIko wapi hiyo App mbona unaandika na kama unatulazimisha tui_download ndipo tuione?.
Wekeza muda mwingi kwenye kupractice unachokiangalia pia tengeneza consistencyNyie mnawezaje haya mambo?
Dadeq kila siku nainstall Android studio tena latest version na matutorial ya kutosha ila naishia kuyaangalia tu
π€£ π€£ π€£ π€£ tatizo ni nini ? mda ?matutorial ya kutosha ila naishia kuyaangalia tu
Tatizo izi mambo ukikwama kutafta mtu akupe maelekezo ni kazi sanaa[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] tatizo ni nini ? mda ?