Coolant
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,190
- 2,031
The walking dead ilipaswa kuishia season 5, kuanzia season 6 sikuona jipya zaidi ya kupotezeana muda tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap umenikumbusha mbali mzee wa SAY MY NAMEHuyu mwamba aliulizwa na mke wake are you in danger..mwamba akajibu I am the danger..
Mkuu umemaliza kila kitu, mleta mada ataona ukweli hapo.
Hahaa, Money Heist imeizidi Breaking Bad? Sijawahi kuona rating mbovu kama hizo za Rotten Tomatoes
Mkuu na wewe umeamini eti Money Heist imeizidi Breaking Bad? Haya ni matusiMkuu umemaliza kila kitu, mleta mada ataona ukweli hapo.
Ndio maoni ya watu wengi kama vile wewe unavyotoa maoni yako kwamba hujaielewa Money Heist kama inavyokuwa hyped na watazamaji wengi.Mkuu na wewe umeamini eti Money Heist imeizidi Breaking Bad? Haya ni matusi
Niliheshimu zile rating za IMDB ulizoweka, japo sikubalianagi nazo kwa 100% ila hizi rotten tomato ni rotten kweli
hivi zipo season ngapi , nilikuwa naingalia kwa kusua sua sanaHakuna kama blacklist jamani
Nahisi sababu bado ipo kwenye ongoing so wakifunga kitabu tutajua kipinikipiHahaa, Money Heist imeizidi Breaking Bad? Sijawahi kuona rating mbovu kama hizo za Rotten Tomatoes
Sasa mbona haijawahi hata kuwa nominated kwenye tuzo za Emmy?
No, series zinakuwa nominated hata zikiwa ongoingNahisi sababu bado ipo kwenye ongoing so wakifunga kitabu tutajua kipinikipi
Mkuu the bold and the beautiful umenikumbusha mbali enzi za ITV.Nawasikitikia amabao hamjawahi kuona Series ya
La Mujer Demivida
La Mujer Delorenzo
Marimar
The Long Wait
It Might Be You
The Bold And The Beautful
Jamani The Gardener's daughter was my faveMkuu the bold and the beautiful umenikumbusha mbali enzi za ITV.
The long wait ilikuwa moto pia.
The Gardners daughter bila shaka ulitzama pia
Sent using Linux 10.29
Naunga mkono hojaHakuna kama blacklist jamani
Jaribu series ya kituruki inaitwa SAVAISCI ni nzur kiasi chake inataka kufanana na STRIKE BACK
Sent using Jamii Forums mobile app