haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
Nimekua nikiwaza sana hali ya kiuchumi, sasa nimeijua siri ya kuapata hela kirahisi kwa mazingira ya TZ
1. Kufanya biashara/kazi na serikali, ujenzi wa majengo, kusambaza vifaa, vyakula nk. Malipo yao ni kufuru sana ila uwe tayari kula na wenye mamlaka
2. Kua na mamlaka serikalini, unaweza usifanye kazi na serikali moja kwa moja ila ukatumia mamlaka yako. hapa ndo unakuta gari ya biashara inakamatwa, inapigwa simu moja inaachiwa,wenzangu na mimi ikikamatwa ndo basi hapo lazina zikutoke.
3. Kua "okay" Na serikali, unaweza usifanye kazi na serikali au kua na mamlaka, lakini ukiwa unasapoti chama la wana, basi utaula japo si kama namba 1 na 2.
The rest utatumia nguvu sana sana.
1. Kufanya biashara/kazi na serikali, ujenzi wa majengo, kusambaza vifaa, vyakula nk. Malipo yao ni kufuru sana ila uwe tayari kula na wenye mamlaka
2. Kua na mamlaka serikalini, unaweza usifanye kazi na serikali moja kwa moja ila ukatumia mamlaka yako. hapa ndo unakuta gari ya biashara inakamatwa, inapigwa simu moja inaachiwa,wenzangu na mimi ikikamatwa ndo basi hapo lazina zikutoke.
3. Kua "okay" Na serikali, unaweza usifanye kazi na serikali au kua na mamlaka, lakini ukiwa unasapoti chama la wana, basi utaula japo si kama namba 1 na 2.
The rest utatumia nguvu sana sana.