[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usifurahi sana hiyo list iko kwenye ascending order
Na nani sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unataka nimwagiwe tindikali jamani
wa hapa jfWa hapa Jf au wa mtu binafsi
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Na nani sasa?
Ukishakuwa na miaka miwili tu tayari wewe ni mkongwewa hapa jf
Hebu niume sikio auntie[emoji101][emoji101][emoji101][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Ulimi wenyewe mbayaaaa.
Nakumbuka kwenye kiingereza debate , kulikuwa na debate Kati ya Kiranga vs Mwita25.Kuna Dada alikuwa anaitwa Smile sikuwai kumuona wala kumjua ila nilimzimikiaga mazima aligoma kunipa namba pm, angefanya hivyo tongozo lingemuhusu.
Kuna Mwita25 huyu alikuwa anaongea ngeli, Masanilo @Dr slaa, nape nauye, mwigulu nchemba, Ben Saanane,Lizzy, Kongosho, @maleria sugu, Ritz, Rejao, Pdidy, Kiranga mpagani mjanja, Mzizi mkavu, The Boss. Nyani Ngabu lugha zake za jeuri zilimjengea maadui wengi wa kwenye keyboard bila yeye kujua na siku alipoingia kwenye 18 za wala vumbi walimtimulia vumbi la kutosha. Ulikuwa ukikutana na Habari ni Habari za moto kweli sio sasa hivi uwongo mwingi.
kumbe mimi bado sio mkongweUkishakuwa na miaka miwili tu tayari wewe ni mkongwe
kumbe mimi bado sio mkongwe
hii hii bado hata miezi 6Una id nyingine?
Meno yangu yako na UTI nitakuambukiza auntieHebu niume sikio auntie[emoji101][emoji101][emoji101]
Jitahidi usibadili na wewe uitwepo mkongwehii hii bado hata miezi 6
kwani ukongwe ni ugali ?Jitahidi usibadili na wewe uitwepo mkongwe
Sasa hutaki? Basi acha ebookwani ukongwe ni ugali ?
Jamaa nilikuwa namuelewa saana asee, I wish arudi aseePaulo sergio D'souza
Yeah Man...Homeboy hiyo alikuwa kichwa sana kutoka Chuga.
Hahahahahhahahaah unajikuta mwenye nidhamu[emoji23]Mimi nimefanya nini tena?
Ni wivu tuu[emoji23][emoji23]Usifurahi sana hiyo list iko kwenye ascending order
Ni wivu tuu[emoji23][emoji23]