Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kwa wale vijana waliozaliwa miaka ya 2000 nawakumbusha tu kuwa Pamba ya Mwanza ambayo kesho inacheza robo fainali na Simba ilikuwa sio ya kawaida.
Golini alikuwa Madata Lubigisa, kulia David Mwakalebela, kushoto Deo Mkuki, Nne Abdallah Bori, sentahafu George Masatu, six Mao Mkami Ball Dancer, Winga Hamza Mponda, Nane Dan Mhoja, Tina Kitwana Suleiman, Kumi Juma Amiri Maftah Pele wa Mwanza na Kushoto ni Fumo Felician
Kulikuwa na Nico Bambaga marehemu, Hussein Masha, John Makelele Zig zag,.Alphoce Modest, Nteze John. James Washokera, Bitta John, marehemu Rajab Msoma.
Aisee, kesho Pamba wanaingia uwanjani nikikumbuka enzi hizo, nakumbuka mbali sana.
Sasa hivi hatuna tena wachezaji wa aina hiyo.
Golini alikuwa Madata Lubigisa, kulia David Mwakalebela, kushoto Deo Mkuki, Nne Abdallah Bori, sentahafu George Masatu, six Mao Mkami Ball Dancer, Winga Hamza Mponda, Nane Dan Mhoja, Tina Kitwana Suleiman, Kumi Juma Amiri Maftah Pele wa Mwanza na Kushoto ni Fumo Felician
Kulikuwa na Nico Bambaga marehemu, Hussein Masha, John Makelele Zig zag,.Alphoce Modest, Nteze John. James Washokera, Bitta John, marehemu Rajab Msoma.
Aisee, kesho Pamba wanaingia uwanjani nikikumbuka enzi hizo, nakumbuka mbali sana.
Sasa hivi hatuna tena wachezaji wa aina hiyo.