"*Kitendo cha kuchukua tu namba ya simu ya demu wa Dar, tayari nywele zake zinafumuka muda huo huo, njaa inamuuma dakika hiyo hiyo, simu yake inaharibika siku hiyo hiyo, siku yake ya kuzaliwa inafika saa hiyo hiyo, mama yake anaumwa ghafla hapo hapo, na kodi yao ya nyumba inaisha dakika hiyo hiyo*. [emoji1787][emoji38][emoji12]
Akiba haiozi acha tuendelee kuchukua;Kwa hiyo dawa ni kuacha kuchukua ili kuwaepusha na hayo matatizo.
Msipende kuleta matatizo kwenye maisha ya watu[emoji23]
Hebu acheni kuchukua namba mnatutia hasara.Akiba haiozi acha tuendelee kuchukua;
why haya yote!Hebu acheni kuchukua namba mnatutia hasara.
Mimi hapa simu yangu nzima kabisa , ghafla inakufa, kodi nimelipa ya mwaka ghafla inaisha, wazazi wanaugua ghafla.
Acheni kututia mikosi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona mtu anakufanyia hivyo jua hautakiwiii.why haya yote!
hivi huku huwa ni kukomoana? ama
Kwa hiyo dawa ni kuacha kuchukua ili kuwaepusha na hayo matatizo.
Msipende kuleta matatizo kwenye maisha ya watu[emoji23]
haha lakini usipokuwa mzito unajua utakula wengi sana; maana shida hazina mbambe na hazizoeleki. Unakuta hapa anachuma pesa; kule ana future husband wake anampenda na anataka waowane. Pole zao hao ma future husband.Ukiona mtu anakufanyia hivyo jua hautakiwiii.
Wengine wakiombwa naniliu..muda huohuo wanaingia mwezini.
Yaani acha tu mkuu, unaweza kuchunwa halafu ukaambulia patupuNa wengine muda huohuo wapewa namba na mzigo juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na mchunwe tuu hamna namna.Ni kweli viherehere vyetu na sisi lkn hatukomi
Juzi nimemtoa out tumezunguka were namwambia twende guest house anasema siku nyingine.
Nikasema moyoni mbona hela na msosi hakusema siku nyingine?
Nikampeleka g/house nikamtafuna.
Cha mwanaume ni mwiiba.