Nimeikuta Mahali

pole yetu tena? Si unajua mahawala hawa achani!! Muda wowote ukitaka kupasha kiporo mwapashana tu. Pole zaidi ni kwa husband materials wana kazi ya ziada ya kufanya.

Sijui na Mimi wangu wanamtafuna uko wadau.
[emoji23][emoji23][emoji23]unauliza majibu ..future wife anatafunwa haswaa
 
Wengine ukichukua namba tu,hata mama yake humjui utasikia pah mama anaumwa hela za matibabu zinahitajika...sawa tu jamani dada zetu tunawapenda ila maisha ya ujanja ujana yanawapenda sana
 
Ni mikosi eti. Hebu fikiria tuu mtu kuja tuu vitu vyako vinaanza kuharibika na wazazi wanaumwa.
Sema tunasema tu hapa ila huwa hatuchomoki kila mtu anakula urefu wa kamba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…