Nimeingia choo cha kike! ....(1)

Nimeingia choo cha kike! ....(1)

FirstLady1, mmekuwa siyo wavumilivu wa kusubiri niwapashe yale niliyotaka kuwapasha. Inaonekana mmetanguliza mawazo yenu zaidi kuliko ukweli ya yaliyonikuta. hivyo nimeghahiri kuendelea kuwa hiki kisa ambacho kimsingi kingewapa mambo machache ya kujifunza!

Nasubiri muendelezo, kama hutaki kuweka hapa nitupie hata kwa pm.
 
Hivi wewe kama hukuwa na muda wa kumalizia hii riwaya yako kwa nini ulianzisha????ndio maana unaambiwa mpelekee Shigongo ataipenda,unataka tusome hiyo riwaya wiki nzima acha hizo banaa!.
 
umenikumbusha kikosi cha kisasi na njama. wille gamba
 
FirstLady1, mmekuwa siyo wavumilivu wa kusubiri niwapashe yale niliyotaka kuwapasha. Inaonekana mmetanguliza mawazo yenu zaidi kuliko ukweli ya yaliyonikuta. hivyo nimeghahiri kuendelea kuwa hiki kisa ambacho kimsingi kingewapa mambo machache ya kujifunza!

Haya mambo ya kuonjeshana kama watoto uache! Sasa unaringishia ili iwaje? Kama hutaki si uache tu?
Unapenda kubembelzwa kama upo kwa gf wako vile!
 
lete mzigo mwingine bana..unaharibu utamu wa hii story
 
... tupo kibao tunasubiri muendelezo. (if you want to shoot, shoot ...)

Mkuu ombi lako nimelipokea, ila niko bize hapa ofcn, lakini hata hivyo nimekumegea muendelezo mzee!
 
FirstLady1, mmekuwa siyo wavumilivu wa kusubiri niwapashe yale niliyotaka kuwapasha. Inaonekana mmetanguliza mawazo yenu zaidi kuliko ukweli ya yaliyonikuta. hivyo nimeghahiri kuendelea kuwa hiki kisa ambacho kimsingi kingewapa mambo machache ya kujifunza!

kaka stori yako nzuri sana ebu malizia achana na watu wa combination za science..... tupo sisi tuliosoma A-Level HKL...... riwaya kwa kwenda mbele
mwaga vitu hivo hapa kaka malizia coz we want to know. Kujifunza si lazima uende shule za gov au english medium. hili ni darasa huru mkuu.
Haya nimekaa nasubiri umalizie
 
Sasa kesho utaimalizia saa ngapi nifunge ofic mapema!!
 
Wewe mzoefu hapa JF so hayo uliyosoma ni ya kawaida,humu kuna kila sampuli ya watu changanya na ID za kutengeneza.Lete hicho kisa kila mtu ana kipaji chake cha kuandika.
 
Back
Top Bottom