Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Wakati WA bwana gan?!🏃🏃🏃H
HApo ka ukwaa, huwa wanasema wakati wa Bwana, kwa hio awe mpole wakati ufike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati WA bwana gan?!🏃🏃🏃H
HApo ka ukwaa, huwa wanasema wakati wa Bwana, kwa hio awe mpole wakati ufike
Nimekuona nimekuona
Mabaalia WA Dar wanavituko Sana😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nmecheka had bas uwiiiiiiiii kuombeana chumban mapepo yametoka shetan kasogea mbele kumvuta muombezi , kiruuuuuuuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana.Wewe NI Mlokole?!
Basi msaidie kijana hapo amekosea wapi??
Jaman NI kweli alikuwa anakuwa na wanakwaya au ulijishtukia Tu boss, maana wanaume wenye ego ndogo hawanaga confidence (kujiamini) hasa akinyimwa alichoomba🚶🚶🚶Sinaga hamu na mabinti wa kilokole, nilishakuwa na binti mmoja hivi yeye kila siku yupo bize na kanisani kumbe analiwa na waimba kwaya wenzake,
Ila mimi nikiomba papuchi napigwa kalenda kama vile naomba ajira.
Lakini kwake kampenda binti WA kilokole jamaaaHapana.
Kijana atafute anayeendana nae na hapo hatakwazika kwa lolote.
Sasa Kwanini upo hapa kama nakuboa?! 😂😂😂Nawe vistory vyako vya kihanga vinaboa
Huyo nae mvivu, ananganganiaje sehem moja kama kupe? Kama kafa kaoza kwa huyo binti basi awe makini asitoe harufu ya kunuka hadi sis majirani tukajuaLakini kwake kampenda binti WA kilokole jamaaa
Unajua Mimi baalia, embu mtimizie Kila siku anachotaka alafu uone atafanyajeSisi tunajuana wenyewe,japo kua na mimi ni mlokole lakini kuna mlokole hapa naona sasa nishagonga mwamba,kwa sababu ndoano zangu zote naona sasa zimegonga mwamba japo kua naona kama vile ananikazia mimi tu kutokana labuda na uchumi wangu kua unstable,mana nikimcheki tabia zake sioni ulokole wowote bali kama ananifichia makucha tu.Mi naona nayeye ni anataka sitaki kutokana na mambo flani anayoona simtimizii.
Atasikia boss🚶🚶🚶🚶Huyo nae mvivu, ananganganiaje sehem moja kama kupe? Kama kafa kaoza kwa huyo binti basi awe makini asitoe harufu ya kunuka hadi sis majirani tukajua
Mmmh sio kweli bwana, SA kwenye kwaya wanahonganaje labda?? Alafu mkesha wanakulanaje?! Acha uongo uende Mbinguni
Vp wew huez kua na mkaka mlokoleAtasikia boss🚶🚶🚶🚶
Unaboa pamoja na utu uzima wako, jirekebisheSasa Kwanini upo hapa kama nakuboa?! 😂😂😂
Walokole wengine bwana, ndio maana hamkamati ndege mpaka muoteshwe🚶🚶
Unaonaje wewe ukijiunga na kwaya mpaka ukawa kwaya master?!Mkuu mm ni ex-mlokole niliyekata kamba, thats my little experince...., Yaani ni kama walivyo Wasabato, hawa wanahimizana wapendane wao kwa wao na hii inapelekea Ma Kwaya Masta Wafanye UfiSi.
Bibi WA Miaka 63 nikawe na Kaka WA KILOKOLE vipi sasa?!Vp wew huez kua na mkaka mlokole
Punguza munkari, kubali kukosolewa. Unaboa kwa sredi za kitotoNingekuwa naboa wala usingekuwa hapa
Acha egoness ya kiduanzi nyau wewe
Earn your manners plz
Such a no Brainer 🚶🚶🚶🚶
Sawa naboa, kwahiyo?!🙄Punguza munkari, kubali kukosolewa. Unaboa kwa sredi za kitoto
Kwa kawaida watu kama nyie tukiwaambia ukweli mnajirudi ingawa kutakuwa na kipindi cha kujibaraguza. Mara nyingi wanawake wa umri wako wakikoswa kuwekwa m.boo sawasawa hii ndiyo inakuwa matokeo. Acha kufikiria masuala ya ngono. Jiheshimu na utapata utulivu wa moyo. UnaboaSawa naboa, kwahiyo?!🙄
What are you going to do about it?! 🙄
Such a no brainer😂😂
AiseeKwa kawaida watu kama nyie tukiwaambia ukweli mnajirudi ingawa kutakuwa na kipindi cha kujibaraguza. Mara nyingi wanawake wa umri wako wakikoswa kuwekwa m.boo sawasawa hii ndiyo inakuwa matokeo. Acha kufikiria masuala ya ngono. Jiheshimu na utapata utulivu wa moyo. Unaboa
[emoji120][emoji120][emoji120]Nimekuona nimekuona
Hata Kwa website nimekuona