Nimeingia kwenye 18 ya Mapenzi ya Mlokole lakini nimetoka kapa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uuuuwi, kwahiyo best unamsaidiaje kijana alietoswa na binti WA KILOKOLE??
 
Aisee!!! Sijui ni kweli au hadithi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aya sawa mkuu, sina cha kuongezaa
 
We Acha fujo msaidie kijana WA watu kampenda mlokole
hao Walokoe wakikwambia anaolewa na GODI sio Godfrey ni GOD (Mungu)
wanajikabidhi kwa Mungu mpaka atakapopata mume mwema na wanachaguliwa na mama Mchungaji au huyo jamaa wa maombi lkn mpaka amguse ppchi kwa upako
kwa hiyo aliyekuwa naye muulize vizuri sio Francis, John? yeye kajua ndiye GODI (GOD)
asikate tamaa kesho ni yeye
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Lakini weweπŸ™† nakugawaaaπŸ˜‚
 
unanitisha Money Penny kunigawa tena!!!!
mm walokole na wasabato wanawake wao nawaogopa sana,
watakunyima ppchi lkn kiongozi atamegewa kisa ana maombi, miujiza, baraka nk
 
unanitisha Money Penny kunigawa tena!!!!
mm walokole na wasabato wanawake wao nawaogopa sana,
watakunyima ppchi lkn kiongozi atamegewa kisa ana maombi, miujiza, baraka nk
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Unaonaje ukiwa kiongozi WA hayo yote alafu uwamegeπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…