Nimeingia na camera mjini nianzie vipi harakati?

Nimeingia na camera mjini nianzie vipi harakati?

Wewe utakua mgumu kuelewa
Sikiliza dogo.
Wewe ingia mjini ukiona wadada wazuri wanavutia...wasifie sana walivyo warembo then waambie hebu kaeni vizuri niwape zawadi...
Piga mipicha ya ya kutisha then waonyeshe.

Wakivutiwa chukua namba zao waambie nikisafisha nawaletea...
Ndio umeanza ajira hivyo
 
Sikiliza dogo.
Wewe ingia mjini ukiona wadada wazuri wanavutia...wasifie sana walivyo warembo then waambie hebu kaeni vizuri niwape zawadi...
Piga mipicha ya ya kutisha then waonyeshe.

Wakivutiwa chukua namba zao waambie nikisafisha nawaletea...
Ndio umeanza ajira hivyo
Sawa
 
Back
Top Bottom