Nimeingia ndani ya mwili wa mke wangu kimiujiza

Nimeingia ndani ya mwili wa mke wangu kimiujiza

Nilikua nadhani ni uongo na mambo aya ayapo. Ila asubuhi nimeingia na bado nipo ndani ya mwili wamke wangu pasipo yeye kujijua. Simu hii anayotype jf nj yake ila ameingia kwenye acc yangu na anaandika uzi.

Haya mambo niyakutisha sana na usiombe uyaone kama wewe siyo jasiri.
Namuamuru mimi kipi cha kutype...

Mazingira utakayoyaona ukimuingia mtu;
1. Hali yahewa ni ya ubaridi baridi kwa mbali sana. Sauti atakayoongea muingiliwa ni nyembamba mithili ya mlio wa jokofu likifunguliwa.
2. Chakuka utakachokula ni kile atakachokula muingiliwa.
3. Mwanga upo ni mweupe uliofifia kidogo.
4. Unajisaidia kwenye utumbo wake mpana na kinyesi kinajiunga na chake.
Na mengineyo mengi...

Nb. Unakuwa ulimwengu wa kirogo si kimwili inakuwa ni nafsi yako tu. Si ulimwengu huu wa duniani

Kubwa kuliko nimegundua week iliyopita alini cheat na jamaa. Nimepanga nimuadhiby jamaa huyu

Niombeeni lolote linaweza kutokea jamani... bado nipo nipo nikitoka nitawajulisha.
Ulijisikiaje alipokuwa akimegwa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unanichukia sana Jei wani

Hapana, ila uache kuandika vitu ambavyo ni unrealistic or fake sana plz.. Unaandika mambo sio sawa, mfano thread moja uliandika umemlazimisha mke wako aende club ili ujue marafiki au michepuko au watu wanaoweza mtongoza, acha haya mambo, i know unasema uongo, ila achana na hadithi za hivyo, zitakuharibu sana.
 
Hapana, ila uache kuandika vitu ambavyo ni unrealistic or fake sana plz.. Unaandika mambo sio sawa, mfano thread moja uliandika umemlazimisha mke wako aende club ili ujue marafiki au michepuko au watu wanaoweza mtongoza, acha haya mambo, i know unasema uongo, ila achana na hadithi za hivyo, zitakuharibu sana.
Mkuu hii ni sayansi kama zilivyo nyingjne. Ni ujuzi pia.
 
We jamaa huwa unaniacha hoi sana aseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenifanya nicheke sana akati mi ni dizaini ya putin.
 
Nilikua nadhani ni uongo na mambo aya ayapo. Ila asubuhi nimeingia na bado nipo ndani ya mwili wamke wangu pasipo yeye kujijua. Simu hii anayotype jf nj yake ila ameingia kwenye acc yangu na anaandika uzi.

Haya mambo niyakutisha sana na usiombe uyaone kama wewe siyo jasiri.
Namuamuru mimi kipi cha kutype...

Mazingira utakayoyaona ukimuingia mtu;
1. Hali yahewa ni ya ubaridi baridi kwa mbali sana. Sauti atakayoongea muingiliwa ni nyembamba mithili ya mlio wa jokofu likifunguliwa.
2. Chakuka utakachokula ni kile atakachokula muingiliwa.
3. Mwanga upo ni mweupe uliofifia kidogo.
4. Unajisaidia kwenye utumbo wake mpana na kinyesi kinajiunga na chake.
Na mengineyo mengi...

Nb. Unakuwa ulimwengu wa kirogo si kimwili inakuwa ni nafsi yako tu. Si ulimwengu huu wa duniani

Kubwa kuliko nimegundua week iliyopita alini cheat na jamaa. Nimepanga nimuadhiby jamaa huyu

Niombeeni lolote linaweza kutokea jamani... bado nipo nipo nikitoka nitawajulisha.
Pumzika
 
Nilikua nadhani ni uongo na mambo aya ayapo. Ila asubuhi nimeingia na bado nipo ndani ya mwili wamke wangu pasipo yeye kujijua. Simu hii anayotype jf nj yake ila ameingia kwenye acc yangu na anaandika uzi.

Haya mambo niyakutisha sana na usiombe uyaone kama wewe siyo jasiri.
Namuamuru mimi kipi cha kutype...

Mazingira utakayoyaona ukimuingia mtu;
1. Hali yahewa ni ya ubaridi baridi kwa mbali sana. Sauti atakayoongea muingiliwa ni nyembamba mithili ya mlio wa jokofu likifunguliwa.
2. Chakuka utakachokula ni kile atakachokula muingiliwa.
3. Mwanga upo ni mweupe uliofifia kidogo.
4. Unajisaidia kwenye utumbo wake mpana na kinyesi kinajiunga na chake.
Na mengineyo mengi...

Nb. Unakuwa ulimwengu wa kirogo si kimwili inakuwa ni nafsi yako tu. Si ulimwengu huu wa duniani

Kubwa kuliko nimegundua week iliyopita alini cheat na jamaa. Nimepanga nimuadhiby jamaa huyu

Niombeeni lolote linaweza kutokea jamani... bado nipo nipo nikitoka nitawajulisha.
 
Back
Top Bottom