Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Mkuu hujatapeliwa.. Umeambiwa Tin kwanza mengine baadae ukataka bei ya jumla utakayolipa.. Hiyo laki na nusu ni kodi yako ya awali utayoipa amekukadiria then baadae itapanda kadri biashara itavyokua..
Tin ni bure.. Laki na nusu ni kodi sababu biashara ndo inaanzaanzamwisho wa mwaka ukipeleka hesabu watakupandishia itakua laki tatu na elfu kumi na nane.. Hivohivo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tin ni bure.. Laki na nusu ni kodi sababu biashara ndo inaanzaanzamwisho wa mwaka ukipeleka hesabu watakupandishia itakua laki tatu na elfu kumi na nane.. Hivohivo
Sent using Jamii Forums mobile app