Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Asante kwa ufafanuzi mkuu ubarikiweTIN ni bure ofisi zote za Tra kama hutaitumia kwa biashara mfano kwenye mchakato wa kupata driving licence. Afisa huyo yupo sahihi alikujibu kulingana na itaji lako la kuanza kufanya biashara.
Ukianza biashara lazima Tra wakukadilie kodi utakayoanza kulipa kwa mwaka ambayo ni 150,000/= kwa kuanzia na utailipa kwa awamu nne. Awamu ya kwanza kuanzia Januari-March hutalipa 37,500/=, awamu ya pili Aprili-June hutalipa 37,500/=,awamu ya tatu Julai-Septembe hutalipa 37,500/= na awamu ya mwisho ni Octoba-December hutalipa 37,500/=. Hivyo basi jumla inakuwa ni 150,000/= kwa mwaka, ila kama unafedha unaruhusiwa kulipa zote kwa mkupuo.
Hii ni kwa biashara isiyozidi turnover ya Tsh 4M kwa mwaka.
Mwaka unaofuata wataangalia biashara kama imekuwa wanakuhamishia kwenye kiwango cha cha TSH 318,000/= kwa mwaka.
Mkuu hujatapeliwa.. Umeambiwa Tin kwanza mengine baadae ukataka bei ya jumla utakayolipa.. Hiyo laki na nusu ni kodi yako ya awali utayoipa amekukadiria then baadae itapanda kadri biashara itavyokua..
Tin ni bure.. Laki na nusu ni kodi sababu biashara ndo inaanzaanzamwisho wa mwaka ukipeleka hesabu watakupandishia itakua laki tatu na elfu kumi na nane.. Hivohivo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee ndio umeongea point, nilikua nimelewa ila pombe imekataTIN ni bure ofisi zote za Tra kama hutaitumia kwa biashara mfano kwenye mchakato wa kupata driving licence. Afisa huyo yupo sahihi alikujibu kulingana na itaji lako la kuanza kufanya biashara.
Ukianza biashara lazima Tra wakukadilie kodi utakayoanza kulipa kwa mwaka ambayo ni 150,000/= kwa kuanzia na utailipa kwa awamu nne. Awamu ya kwanza kuanzia Januari-March hutalipa 37,500/=, awamu ya pili Aprili-June hutalipa 37,500/=,awamu ya tatu Julai-Septembe hutalipa 37,500/= na awamu ya mwisho ni Octoba-December hutalipa 37,500/=. Hivyo basi jumla inakuwa ni 150,000/= kwa mwaka, ila kama unafedha unaruhusiwa kulipa zote kwa mkupuo.
Hii ni kwa biashara isiyozidi turnover ya Tsh 4M kwa mwaka.
Mwaka unaofuata wataangalia biashara kama imekuwa wanakuhamishia kwenye kiwango cha cha TSH 318,000/= kwa mwaka.