Hongera kwa kuwa Oliver Tambo Airport, mengine nayo ni ya kawaida usishangae hata kukuta imepaki hata uwanja wa Bujumbura kwani ATCL inapoharibikia ndo inapaki na kusahaulika jumla, nenda viwanja vya Kigoma, Mwanza utakuta zimepaki yaani hata injini ikiingiliwa na maji basi solution ni kupaki