Wakuu nipo hapa Oliver Tambo Airport naiona ndege ya ATCL iliyokodishwa ipo imepaki
jee tayari wamesha vunja mkataba tena au ndio maumivu ya kichwa huanza pole pole kutokana na kazi ya Fast jet
imebidi wakubali kushindwa
nina wakilisha maana kama ndege ipo huku wao wanatumia ndege gani huko Bongo
jee tayari wamesha vunja mkataba tena au ndio maumivu ya kichwa huanza pole pole kutokana na kazi ya Fast jet
imebidi wakubali kushindwa
nina wakilisha maana kama ndege ipo huku wao wanatumia ndege gani huko Bongo