Bai tushirikiana kuisaka dead or alivenitake rradhi mimi mwenyewe nataka kujua
Mkuu umenena vyema kabisa nilijaribu kufuatilia nikakimbia hiyo bei yake ..Sikushauri kabisa.. Bei yake haina tofauti na carina Ti used
Fashion halafu ni brand newMkuu umenena vyema kabisa nilijaribu kufuatilia nikakimbia hiyo bei yake ..
Kwanini bei yake ipo juu sana
uwe unasoma kwanza usijibu kwa matakwa yako...ni Sawa mtu atake nunua ist for economy then umwambie haumshauri coz bei yake ni Sawa na brevis....Sikushauri kabisa.. Bei yake haina tofauti na carina Ti used
Itachakaa wakati Ti yako ikiwa bado kabisa.. Wachina wanazo
kwani india awatengenezi gari unapanda TATA unajua znatoka wap ivyo vigar vinatengenezwa india na kampuni ya bajaji ila vinakujaga kwa spacial order tfl unaweza kukuagizia au pale car general pia wanaagizaMh gar inatengenezwa india hapo umeulamba
Tsh.14,800/=Bila punguzo.Kama hivi vya kubebea abiria wanauza vipya kuanzia milion 4. Yawezekana hako wakauza hata milioni saba fedha ambayo unaweza kununua gari halisi