Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Endelea kudangaWananzengo wenzangu, sina hata 100, ila nimeipenda nyumba moja Salasala, je niombe dua gani niweze kuinunua?
Nimeikagua ina mita za mraba 1600, bei ni millions 150, Ina bwawa la kuogelea, pia ina bwawa la samaki na sehemu ya kuweka mabanda ya kuku.
Nikiipata aiseee
Wapi nimemdhalilisha....?Vijana msio kuwa na maana na kuzalilisha Dada zenu kwa maandiko ya kijinga
Nataka nimpake mafuta ya upako ili afanikishe lengp lake mkuuUnataka umfanye nini
Hutaki zawadi ya kiwanja na weweππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamkumbuka marehemu wa "900 itapendeza" Japo hakufanikiwa kupata lile ghorofaWananzengo wenzangu, sina hata 100, ila nimeipenda nyumba moja Salasala, je niombe dua gani niweze kuinunua?
Nimeikagua ina mita za mraba 1600, bei ni millions 150, Ina bwawa la kuogelea, pia ina bwawa la samaki na sehemu ya kuweka mabanda ya kuku.
Nikiipata aiseee
Wew Dume ndani ya I'd ya kike Shenzi SanaWananzengo wenzangu, sina hata 100, ila nimeipenda nyumba moja Salasala, je niombe dua gani niweze kuinunua?
Nimeikagua ina mita za mraba 1600, bei ni millions 150, Ina bwawa la kuogelea, pia ina bwawa la samaki na sehemu ya kuweka mabanda ya kuku.
Nikiipata aiseee
Kijana wa hovyo πKijana una uhakika waeza ?! Et bwana mdogo sio tufike ndani uanze sema umegair? Unaitaka hip 120M?! Au nkupe mda ufikirieπ
View attachment 2657183
Hivi figo moja huwa bei gani, manake nishauchoka umasikini na figo ni mali yanguUza figo
Hahaha mkuu kwa rocumentary nilizotazama dalali ndiye anakula pesa ndefu zaidi wewe unaweza kuambulia kati ya dolar 7000 hadi 30000 kutegemea na afya yako na dalali uliyempata kama ni kausha damu au si kausha damu. Kama wewe ni mlevo, unavuta sigara, umechoka sana bei inapungua au halifai kwa matumizi ,πππHivi figo moja huwa bei gani, manake nishauchoka umasikini na figo ni mali yangu
Hahaha mkuu kwa rocumentary nilizotazama dalali ndiye anakula pesa ndefu zaidi wewe unaweza kuambulia kati ya dolar 7000 hadi 30000 kutegemea na afya yako na dalali uliyempata kama ni kausha damu au si kausha damu. Kama wewe ni mlevo, unavuta sigara, umechoka sana bei inapungua au halifai kwa matumizi ,πππ
Njoo kinyume nyume nyumbani kwetu manzese apa ntkununulia hyo nyumba uje na mafuta [emoji16][emoji16][emoji1] ntakupa na bonus ingne ya kiwanja goba
Dalali ndio wanapiga pesa ndefu yani ni biashara haramu dalali ndiye anaunga wahitaji na wauzaji yeye anakula ndefu wewe kiduchu. Niliona documentary za wahindi hukoNdogo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kina Msukuma wameuza yao wamepata magari ya Mil. 400[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi machoziii, khaaahKijana una uhakika waeza ?! Et bwana mdogo sio tufike ndani uanze sema umegair? Unaitaka hip 120M?! Au nkupe mda ufikirie[emoji28]
View attachment 2657183