Winston Mtanzania
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 340
- 117
Ni haki yangu kutoipigia kura maana itaharibu nchi yangu.
Mzalendo yeyote hataipitisha katiba pendekezwa. Maana imejaa wizi, usanii na maoni ya kupika.
Tusiipigie kura kabisa. Tukajifanyie shughuli zingine siku ya tarehe ya kura
Mzalendo yeyote hataipitisha katiba pendekezwa. Maana imejaa wizi, usanii na maoni ya kupika.
Tusiipigie kura kabisa. Tukajifanyie shughuli zingine siku ya tarehe ya kura