Niliomba kazi ya human resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni 712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu then mlacha awape kazi wapare wenzie na watu wa kaskazini??? Maana asilimia karibu 70 ya watu walioitwa ni watu wa huko...kwakweli kuliko kupoteza nauli yangu bora nipanue kilimo changu cha nyanya huku kwetu kigoma....inegkuwa wameshort list hata watu 70 afadhali lakini 712 daaaah...otherwise i wish all those who are going the best of luck out there mie siendiiiii
Niliomba kazi ya human resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni 712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu then mlacha awape kazi wapare wenzie na watu wa kaskazini??? Maana asilimia karibu 70 ya watu walioitwa ni watu wa huko...kwakweli kuliko kupoteza nauli yangu bora nipanue kilimo changu cha nyanya huku kwetu kigoma....inegkuwa wameshort list hata watu 70 afadhali lakini 712 daaaah...otherwise i wish all those who are going the best of luck out there mie siendiiiii
Jamani hivi hizo interview ni tarehe ngapi, coz nimeona majina bila maelezo muhimu?
aliyewaambia mmeitwa ni nani? Imeandikwa wp kuwa hiyo ni 'shortlist'?...ukiwa kilaza kama Mulugo unaanza kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.... Subirini utaratibu mtapewa tu.. Msidandie train kwa mbele mtakufa buure.Hayo ni majina tu kwenye database yao!