Nimeitwa Shetani baada ya kutoa ushauri ambao nimeombwa. Nikirudishia haya matusi najua tu itakuwa issue kwa ndugu

Nimeitwa Shetani baada ya kutoa ushauri ambao nimeombwa. Nikirudishia haya matusi najua tu itakuwa issue kwa ndugu

😂 in other side huo ndio uhalisia wa mambo, lkn upande mwingine piah, mkuu unaroho ya kibabe sana ✊😂😂😂shout out to you Joh... 😆 naomba Mungu anipe moyo kama huo kwenye kutafuta pesa lakini... 😄😄😄🙌
Ha ha ha.... 🤣🤣🤣🤣 Hilo neno umenichekesha sababu kuna mjomba wangu aliwahi nambia nafanya maamuzi yangu binafsi kibabe nayasimamia mpaka mwisho. Huwa napenda kueleza ukweli ulivyo.
 
Pole sana ....sikuz zote ukweli mchungu
 
Kwa upande mmoja uko sahihi lakini haina maana kuwa mtu akishafikisha miaka 70 atafariki, kifo ni juu ya Mungu huwezi jua Mungu amempangia kuishi miaka mingapi angekubali kwenda kwenye maombi na kuwa na imani ingesaidia zaidi maana lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana.
Na ndo maana sikusema aachwe porini. Nli suggest akaombewe ili sasa kama ni mapenzi ya Mungu aendelee kuwepo kama si mapenzi basi awe Mwendazake.
 
You are very smart.
Ila Waafrika wengi kichwani ni zero.
Waache wauze ili waendelee kuwa mafukara. Miaka 70 bado mnataka kuuza assets ili akatibiwe!!!
Ndo hicho nachowaambia hiyo miaka inamtosha sana tena yup late 70s
 
"Mimi nlishawahi sema ugonjwa mwingine watu msilazimishe mtu aishi. Mnamchosha tu mtu mwenyewe ashakula chumvi sana tu.mwacheni ende. Mnamlazimisha kuishi mtu ana kansa, ana BP mnataka aishi kufanya nini?"


Mkuu upo sahihi tatizo watu kama nyie huwa katika jamii hampendwi na matokeo ndo huwa kipimo sahihi cha ushauri wenu.

Umenifurahisha sana ila kiuhalisia huo ndo ukweli.

Maisha ya ujamaa yamefanya wengi kuwa wanafiki na wale wa kuongea ukweili kuonekana hawana utu.

Nenda kalale chief
 
Kuna mtu alipata mtoto kiwete, hajiwezi, hata kama atakuja kukua hatopata nafuu yoyote ile kutokana na hali yake... wakati tunapiga mitungi na baba mttoto nikatoa maoni yangu kwamba ingekua ni wangu ningefanya maamuzi ya kumpumzisha coz anapata tabu sana kuanzia yeye mwenyewe(mtoto) na wanaomtunza.

Asee nlishambuliwa kwa maneno mengi.

Juzi jamaa kaja ananiuliza afanyaje kuhusu yale maoni yangu... maana imekua tabu... hali ya uchumi mbovu, mke kachoka ye mwenyewe hana muda wa kukaa home....

Nikamwambia afanye anavyoona inafaa kwa kiwa tatizo ni lake.

Sometimes lazma tuangalie faida ya uwepo wetu duniani , km uwepo wako ni tatizo kwa wengine maana yake wewe unatakiwa uwe eliminated kwenye equation, au km sio watu wasiumize kichwa kwa kuwa hakuna faida za kuwekeza nguvu na akili ktk maisha yako.
 
Umeitwa Shetty kwa kueleza jinsi inavyotakiwa iwe ila sisi hatuupendi ukweli kabisa ila yawezekana umetumia maneno magumu mno😅😅
 
"Mimi nlishawahi sema ugonjwa mwingine watu msilazimishe mtu aishi. Mnamchosha tu mtu mwenyewe ashakula chumvi sana tu.mwacheni ende. Mnamlazimisha kuishi mtu ana kansa, ana BP mnataka aishi kufanya nini?"


Mkuu upo sahihi tatizo watu kama nyie huwa katika jamii hampendwi na matokeo ndo huwa kipimo sahihi cha ushauri wenu.

Umenifurahisha sana ila kiuhalisia huo ndo ukweli.

Maisha ya ujamaa yamefanya wengi kuwa wanafiki na wale wa kuongea ukweili kuonekana hawana utu.

Nenda kalale chief

Nashukuru. Tukiwa wengi hiv nchi itaendelea
 
Mshauri mama mdogo wauze nyumba wampeleke india mgonjwa kisha ukae pembeni usubirie movie yao ikianza.Wakikufuata baada ya movie kuanza usiwajibu chochote endelea na maisha yako!
 
Kweli yawezekana umeona umetoa ushauri mzuri kwako wewe ila tu nikwambie umekosa Humanity sana, naona unavojaribu kum attack mgonjwa ni halisi kabisa haupendezwi na yeye kuendelea kuishi.

Unashauri mgonjwa afanyiwe maombi manake unaamini Mungu anaweza kufanya miujiza na mgonjwa akapona lakin cha kushangaza huamini kama ataendelea kuishi kwa sabab ni late 70 na kwa sababu ana cancer.

Ukiacha kuitwa Shetan inabidi uongezewe na uitwe mnafiki, kwa sabab unaegemea kwenye Maombi kwenye kitu ambacho hukiamini..
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mkuu kwani ukifika 70 ndo unakaribia kufa?? Mbona watu wanafika mpaka 100

Ingekua babaako mzazi ndo anaumwa ungempa pia ushauri huo??

Mungu ndo anampangia kila mtu muda wa kuishi
Sio ingekuwa baba yake ingekuwa ndio yeye? unaweza kuwa ushauri wako ulikuwa mzuri lakini kwa maandishi yako tu kuwa huyu mzee mchawi anataka nini basi kweli na ushetani. kawaida kama family mkiambiwa ni terminal ill hapo mnaweza ku by time kumpa huduma za msingi lakini kama kuna chance ya kupona mtu anahaki ya kutibiwa. ila kwa maneno yako kauli zako sio nzuri kama hutaki kuchanga usichange lakini usihukumu huyu afe tu sio sawa.
 
Mtu anapokuwa mzee anahitaji msaada wa juu kwasababu anakua ni Mtu wa mabishi sana ana kua na mapungufu mengi
Na hao ndg wanataka kufanya hivo kama kutetea uhai wake hali nao wanajua kwamba muda wa mzee wao haueleweki
Hivo kikubwa uwe nao begakwabega hata kama wamekuita hivo na walikuita hivo kwasababu ulitumia maneno ambayo yanaujumbe directly.
 
Nimecheka tu !! Kwa sisi tuliosoma prpfessional ethics io inaitwa conflicts of interest yaan ulikuwa upo kati kati u traped in between bad and good people so inategemea unaongea na nan na wakat gan!? Kwa ushaur wngu unapotaka kuwasilisha mada km io inabid utumie maneno ya faraja na si hayo ya kihun eti sijui mkojo wa shetan cjui kabwia chumvi nyingi mara csiui wanamwanika wanamrudisha jaribu kuwa na lugha polite mbal na hapo ndugu watakuona mwaga tu ungekuwa JWTZ apo ata cheo ungepanda maana wanapenda watu wenye roho km zenu
 
Ni kweli kwa ugonjwa alionao uwezekano wa kupona kibinadamu ni mdogo! Isipokuwa kama wataalamu wameshauri apelekwe India kwa matumaini ya kupona,hilo ni jambo jingine.

Lakini hata hivyo hekima ya kutoa ushauri ni muhimu sana sana.Hata kama ushauri ulionao ni mzuri katika mazingira ya mgonjwa kutapatapa huwezi kutoa ushauri kama huo.

Nadhani ungejua kwanza kama wataalamu wameshauri apelekwe India,ikiwezekana wao wenyewe wasaidie kum-council aweze kukubaliana na hali aliyo nayo.
 
Back
Top Bottom