Nimeitwa tapeli na mdai madeni wakopeshaji wa mitandaoni

We umewaweza.boss. nimewaeleza ache kunitukana, mie naitwa ... Napatikana taasis fulani, idara fulani , alete malamiko yake hapo, ya kaendelea kuniita tapeli
Hawa kuwashitaki unapoteza muda.
App zao zina majina todauti na ya kampuni zao.
Simu za kupigia wateja wanazisajili kihuni.
Wakope halafu usiwalipe. Serikali yenyewe imeshindwa kuwatimua
 
Dawa yao kopa na wewe.....imgia mtiniii watakupata wapi ??huna shida ya laki wewe ? Unalia lia nini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…