Pole sanaShukrani mkuu ,kaniharibia weekend yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanaShukrani mkuu ,kaniharibia weekend yangu
Kosa la kiufundiii.....wanafanya makusudiii wanajua wakisema ukubsli qengi watakataaSasa unawekaje mdhamin bila ridhaa yake na mkopaji
Hawa kuwashitaki unapoteza muda.We umewaweza.boss. nimewaeleza ache kunitukana, mie naitwa ... Napatikana taasis fulani, idara fulani , alete malamiko yake hapo, ya kaendelea kuniita tapeli
Dawa yao kopa na wewe.....imgia mtiniii watakupata wapi ??huna shida ya laki wewe ? Unalia lia nini sasa?Nimepigiwa simu na namba ngeni, bila kujitambulisha kanambia nisaidie kumtafuta mtu fulani ambaye namfahamu, eti alikopa kwao pesa na kuniweka mie mdhanini.
Nikamwambia mie sifanyi hizo kazi. Kanijibu niache utapeli. Nilipozidi kumsisitiza ache kunitusi na sijui namba yangu kaipataje akazidi kuniita tapeli. Nataka niwasiliane na mwanasheria nijue hii issue inawekwa vipi. Ndo hilo wakuu nipeni pole tafadhali. Ila huyo binti ntamkomesha.
Sasa kwanini wasimpigie aliyewekwa udhamini kwanza kuthibitisha kama ana taarifa kabla hawajampq mkopo?.Kuna mtu amekopa ameweka wewe kama ....
Mdhamini wake
Hawatakiiii wameamua iwe hivyoSasa kwanini wasimpigie aliyewekwa udhamini kwanza kuthibitisha kama ana taarifa kabla hawajampq mkopo?.
Kama ni hivi wapigishww shot tuHawa kuwashitaki unapoteza muda.
App zao zina majina todauti na ya kampuni zao.
Simu za kupigia wateja wanazisajili kihuni.
Wakope halafu usiwalipe. Serikali yenyewe imeshindwa kuwatimua
Sasa hamna mkopo wa namna hiyo acha waliwe tuKosa la kiufundiii.....wanafanya makusudiii wanajua wakisema ukubsli qengi watakataa