Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Hivyo unavyoviona havina maana vikinuizwa lazima ajute.
 
DUNIA INA MAMBO .NIMECHOKA UPWEKE NGOJA NA MIE NIKALOGE NAOMBA NAMBA YA MPENZI WAKO MKUU
Hivi mtu unaependwa karibu na wanaume wote huku JF unawezaje kusema kuwa upweke unakuua??![emoji32][emoji32][emoji32]......... Siyo bure utakuwa umelogwa wewe!!!
 
MNANIPENDA AU MNATAMANI KUONJA PAPUCHI YANGU
Sasa wewe unataka upendwe bila kuto*bwa???..........Uliona wapi mwanamke anapendwa bila kupewa dyudyu?[emoji32][emoji32]...yaani nikupende halafu niwe nakuangalia tu kama sanamu la michelini huku unatumia hela zangu like no body is business???![emoji32][emoji32]
 
acha zako mkuu ,unasema unayajua sana tupe tafsiri basi.Asikudanganye mtu hakuna lugha ya majini zaidi ya Kiarabu Punt
 
Sasa wewe unataka upendwe bila kuto*bwa???..........Uliona wapi mwanamke anapendwa bila kupewa dyudyu?[emoji32][emoji32][emoji32]....... yaani nikupende halafu niwe nakuangalia tu kama sanamu???![emoji32][emoji32][emoji32]
KILA KITU KINA UTARATIBU WAKE MKUU
 
Ahsante sana Mkuu,duniani kuna mengi!mbona maisha yetu yamekuwa na vitisho vingi sana!!!
Tutaponaje kwa style hii!!?
 
Alisema. Kuanzia Leo utoe ubahili umpe chochote atakacho. Umpende yeye pekee na ukichepuka ka dudu kako kalegee kama mlenda .fungua waleti toa ubahili.
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 

Ushapigwa limbwata wewe [emoji23]
 
kwani mkuu wate wanaojua kithungu ni madaktari ?
 
Imebidi nicheke tu,pamoja na huzuni zangu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…