MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
maana yake uwe ZUZU MAISHAAhsante Mkuu,lakini nataka kupata tafsiri ya kiswahili kwa maneno hayo,nijue maana halisi ya kilichoandikwa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maana yake uwe ZUZU MAISHAAhsante Mkuu,lakini nataka kupata tafsiri ya kiswahili kwa maneno hayo,nijue maana halisi ya kilichoandikwa!!
kuna jamaa alinitongoza pm .nikamkubali unajua tulishindwana wapi? alisema yupo mkoani atakuja dar na atashukia kwangu akae wkend. nikamwambia kumbe kuonana kwenyewe ni hivo eeeh basi mororoo.sitaki hata kumsikia. yaani uje unigegede home kwangu? kweli?Sasa mkuu wewe unahisi sisi wanaume wa JF tutakiuka/tunakiuka utaratibu upi?
iambie kwanza ije pm kwa ajili ya mtongozo ndo itatulia![emoji1][emoji1][emoji1]Itatulia tu.
watoto wa mujini lazima dawa nyingine uingiziwe kunako Utamu wenyewe wanasema wanapaka kwenye Penis halafu unaingiziwa dawa.kekundu kekundu,wajinga ndiyo waliwaoKama ni dawa zinazonuka hivyo huenda kweli wamemuingiziamo nyingine kwa kutumia proboscope[emoji2]
amekutana na vijana wa Mshana JrMshana jr njoo harakaa
Hatari sana mkuuamekutana na vijana wa Mshana Jr
kuna jamaa alinitongoza pm .nikamkubali unajua tulishindwana wapi? alisema yupo mkoani atakuja dar na atashukia kwangu akae wkend. nikamwambia kumbe kuonana kwenyewe ni hivo eeeh basi mororoo.sitaki hata kumsikia. yaani uje unigegede home kwangu? kweli?
Hii mambo ni kweli?watoto wa mujini lazima dawa nyingine uingiziwe kunako Utamu wenyewe wanasema wanapaka kwenye Penis halafu unaingiziwa dawa.kekundu kekundu,wajinga ndiyo waliwao
Ni kweli... Hata utaratibu wa kupendwa kwa mwanamke ni kupewa dyudyu..[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]KILA KITU KINA UTARATIBU WAKE MKUU
ulipopata hela ukamuacha sio[emoji23] [emoji23] [emoji23].......... siku hizi wadada kugegedwa kwao ni kawaida, hata mimi nakumbuka kipindi nilipokuwa naanza maisha kuna dada nilipendana nae nilikuwa naenda kumgegeda gheto kwake na nilkuwa nalala hapo kwake weekend nzima. Alikuwa anaishi na mdogo wake wa kiume, nikikumbuka ile hali(hali ya kwenda kumgegeda kwao huku anaishi na mdogo wake wa kiume) huwa najisikia guilty hadi leo!
Bora ungenikubali mimikuna jamaa alinitongoza pm .nikamkubali unajua tulishindwana wapi? alisema yupo mkoani atakuja dar na atashukia kwangu akae wkend. nikamwambia kumbe kuonana kwenyewe ni hivo eeeh basi mororoo.sitaki hata kumsikia. yaani uje unigegede home kwangu? kweli?
Tutafsirie mkuuHicho sio kiarabu bwana labda ni kiganga na huyo mganga kamdanganya kua na Amani na Imani ya kweli huwezi kupatwa na kitu.
wale wale tu.toka lini mtu akamtongoza mwanamke eti akalale kwao.tongozo gani hilo la kihuni hivo jamani?Bora ungenikubali mimi
Huyo mtu mbaya kabisa,wale wale tu.toka lini mtu akamtongoza mwanamke eti akalale kwao.tongozo gani hilo la kihuni hivo jamani?
Yeye ndo aliniacha kipindi hichohicho baada ya kugundua kuwa i wasn't man enough!(nilikuwa sina kitu na nilikuwa namtegemea sana kipindi hicho)!ulipopata hela ukamuacha sio
Umefurahi eeeh , hahahaHahahaaa