[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mna umri gani?
Acha kumtafuta mchawi, mchawi wako unaye hapohapo ndani...Habari za leo wakuu.
Wazee uchawi upo asee. Dah nipo home na wife nikasikia bonge la mjambo kubabeki sasa ishu kuanza kulalamikiana nani kajamba.
Amekimbia faster chumbani nikajua anakwepa harufu na kunikwepa mimi kumbe alikimbilia pafyumu kwa ajili ya kupulizia.
Bana wewe nikajikuta na mimi namkimbilia nijuee labda kajamba yeye maana alikuwa ananituhumu. Cha kushangaza tumeingia chumbani harufu hakuna sasa kuanza kunusana bana hakuna kitu ndio tukaanza kushangaa kurudi sebuleni harufu bado ipo ya ukweli tena ilizidi upande niliokuwa nimekaa bana.
Baada ya hapo wife akasema itakuwa harufu inatoka nje. Kutoka nje kuhakikisha labda inatokea nje hakuna kitu pako safi kabisa.
Naomba kuuliza wazoefu je ilisha wahi kumtokea mtu?
Na je wana maana gani hawa au huyu mtu na nifanye nini kukomesha hii tabia maana hii si mara moja.
Mara nyingi inatokea hali hii mpaka inazua ugomvi wa nani kajamba. Nimeshtuka sana.
Acheni ujinga, iteni gari la kunyonya kinyesi, karo lenu limejaa!Habari za leo wakuu.
Wazee uchawi upo asee. Dah nipo home na wife nikasikia bonge la mjambo kubabeki sasa ishu kuanza kulalamikiana nani kajamba.
Amekimbia faster chumbani nikajua anakwepa harufu na kunikwepa mimi kumbe alikimbilia pafyumu kwa ajili ya kupulizia.
Bana wewe nikajikuta na mimi namkimbilia nijuee labda kajamba yeye maana alikuwa ananituhumu. Cha kushangaza tumeingia chumbani harufu hakuna sasa kuanza kunusana bana hakuna kitu ndio tukaanza kushangaa kurudi sebuleni harufu bado ipo ya ukweli tena ilizidi upande niliokuwa nimekaa bana.
Baada ya hapo wife akasema itakuwa harufu inatoka nje. Kutoka nje kuhakikisha labda inatokea nje hakuna kitu pako safi kabisa.
Naomba kuuliza wazoefu je ilisha wahi kumtokea mtu?
Na je wana maana gani hawa au huyu mtu na nifanye nini kukomesha hii tabia maana hii si mara moja.
Mara nyingi inatokea hali hii mpaka inazua ugomvi wa nani kajamba. Nimeshtuka sana.
ndicho alichotuambia hapa mkuu, raha sana!Kwahiyo mkeo alikunusa kijambio sio?
Akitiwa na vidole aje atuambiendicho alichotuambia hapa mkuu, raha sana!
hali mbaya mkuu, mleta mada pengine hata hajui amesema nini......amejikuta amepostNa bado !!!![emoji23][emoji23]
Anayo mingine mitano![emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣Akitiwa na vidole aje atuambie
hali mbaya mkuu, mleta mada pengine hata hajui amesema nini......amejikuta amepost
Asante kwa ushauri wako Mkuu.subili,sikunyingine itokee,ikitokea we muongeleshe Kama vile umemuona.hatarudia kuwaambia .huwa wanaacha wakigundua umemuona.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Unataka kusema kuwa jamaa alipaswa kumsingizia mkewe.Inaonekana ndoa yenu ni changa
Hapana, nashangaa wanaishi kwa furaha mpaka walienda kunusana kwenye vinyeoUnataka kusema kuwa jamaa alipaswa kumsingizia mkewe.