Afadhali hakukuwa na watoto kando yao, hiyo kesi ingewaangukia watoto kumbe waliojamba ni wao Wazazi ππUnataka kusema kuwa jamaa alipaswa kumsingizia mkewe.
Mna umri gani?
πππKwahiyo mkeo alikunusa kijambio sio?
Namna ulivyoandika hapa mnaonekana kama mko under 20.Inaenda mwaka wa 11 tunaishi pamoja. Tupo above 35 yrs.
Mkuu,maskhara hayo mkuu.....kunusana tena!!!!Ayseee,au ndiyo ile design ya "kula tunda kimasihara" mkuu???!!!!Maana mna maskhara sana na mwenzi wako!!!!Habari za leo wakuu.
Wazee uchawi upo asee. Dah nipo home na wife nikasikia bonge la mjambo kubabeki sasa ishu kuanza kulalamikiana nani kajamba.
Amekimbia faster chumbani nikajua anakwepa harufu na kunikwepa mimi kumbe alikimbilia pafyumu kwa ajili ya kupulizia.
Bana wewe nikajikuta na mimi namkimbilia nijuee labda kajamba yeye maana alikuwa ananituhumu. Cha kushangaza tumeingia chumbani harufu hakuna sasa kuanza kunusana bana hakuna kitu ndio tukaanza kushangaa kurudi sebuleni harufu bado ipo ya ukweli tena ilizidi upande niliokuwa nimekaa bana.
Baada ya hapo wife akasema itakuwa harufu inatoka nje. Kutoka nje kuhakikisha labda inatokea nje hakuna kitu pako safi kabisa.
Naomba kuuliza wazoefu je ilisha wahi kumtokea mtu?
Na je wana maana gani hawa au huyu mtu na nifanye nini kukomesha hii tabia maana hii si mara moja.
Mara nyingi inatokea hali hii mpaka inazua ugomvi wa nani kajamba. Nimeshtuka sana.
Hayo mambo yapo. Siku moja nililazwa hospitali, kwa nje kulikuwa na chemba ya maji machafu. Asubuhi ya siku iliyofuata nilisikia harufu mbaya na kali sana, nikadhani inatoka kwenye ile chemba. Baada ya kuwa kuruhusiwa, nikiwa kwenye daladala, mambo yalikuwa safi. Lakini baada ya muda mchache kupita, nilisikia vitu kama baloon ndogo vikipasuka maeneo ya mbele ya uso, na ikatoka harufu ile ile kama ya kwenye zile chemba za maji machafu. Abiria waliishia kugeuka kuangalia hii harufu inatoka wapi. Kifupi ni kwamba si lazima iwe wachawi walioleta harufu hiyo, maana kuna 'nguvu' nyingine iliyo 'ovu' (nikimaanisha mashetani - satan & demons) inayoweza kufanya mambo hayo.Habari za leo wakuu.
Wazee uchawi upo asee. Dah nipo home na wife nikasikia bonge la mjambo kubabeki sasa ishu kuanza kulalamikiana nani kajamba.
Amekimbia faster chumbani nikajua anakwepa harufu na kunikwepa mimi kumbe alikimbilia pafyumu kwa ajili ya kupulizia.