Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,147
teh teh teh practice will make it perfectHeshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hivi unajua maana ya kidogo mkuu figganigga
huo ni mkaa sio chips moto mwingi mafuta kidogo chips nyingi kweny karai lazima ziungue lazima ukadirie moto mafuta na kiaSi cha chips na muda zitakazo kaa jikonHeshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo ni chips za kuchoma
[emoji23] [emoji23]Hahhahahaaaa hazijaungua kidogo hizo zimeungua kabisa
[emoji23] [emoji23]Mkuu, acha kunikatisha tamaa ya kujifunza kupika. Nmeomba ushauri, kama unaweza nifundishe. Hata hivyo haijaungua hiyo bali imebadiika rangi, nahisi ni kwa sababu ya mafuta yatakuwa yameungua.
[emoji23] [emoji23]Bro.
Umetengeza kaukau za viazi, wallahi sio chipsi hizo...
Sina mbavu jamani [emoji23] [emoji23]Watakuja wajuzi wakusaidie Mkuu. Hii picha imenikumbusha chapati za Evelyn Salt ambazo mwenyewe alidai kutengeneza mduara kawaachia mamodel, kwi kwi kwi kwi lol!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani ile unamaliza tu kupika mgeni wa saa saba ndo naibuka.....
na mkanda wa Nigeria kwenye mfuko.....
Wewe unajua? Tupeni maujanja basi jamani!![emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Okoa hizo za kwenye karai zishaiva...