Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Kuna wakati nilijaribu kupika mchemsho, kilichotokea KILIKUWA ni kichekesho.
Nilisaidiwa na wenye kazi yao, ndo kikalika.
 
Zimebadilika rangi tu. Nifundishe basi. Yaani watu wawili tu ndo wamenisaidia
Menya viazi vyako.....

Osha vizuri

Katakata mkato wa chips

Zikaushe maji

Nyunyuzia chumvi na blackpaper kidogo

Bandika mafuta....yakiwa tayari weka chips zako....

Zikianza kiwa brownish kwa mbali zigeuze ...baada ya sekunde 30 hadi 50 zitakuwa tayari

Unaweza ukalia na maini ya kukaanga au mayai au samaki wa kupaka au kavu kavu


Aidha kama hutumii mafuta unaweza zipika kwenye oven
 
Nataka nijue. Hadi sasa mtu mmoja ndo kanisaidia. Wengine mnanizodoa na kunikosesha furaha hadi najiona sifai. Basi mmoja wenu ajitolee aje anifundishe live. Mi nipo Dar. Atakaye nifundisha ntampa zawadi nono.

usituharibie jiji letu watu wa dar wajanja kiepe kila kona wewe wa mkoani inaonekana umezoea kusonga ugali mkubwa wa watu kumi anakula mtu mmoja
 
Menya viazi vyako.....

Osha vizuri

Katakata mkato wa chips

Zikaushe maji

Nyunyuzia chumvi na blackpaper kidogo

Bandika mafuta....yakiwa tayari weka chips zako....

Zikianza kiwa brownish kwa mbali zigeuze ...baada ya sekunde 30 hadi 50 zitakuwa tayari

Unaweza ukalia na maini ya kukaanga au mayai au samaki wa kupaka au kavu kavu


Aidha kama hutumii mafuta unaweza zipika kwenye oven
Kwa oven unapikaje?. Asante sana..ungekuwa hujawahiwa yaani hii ni sifa moja tu. Pls..endelea kunipa maujanja. Manake wanawake wa siku hizi nasikia ukiwaoa kama hujui kupika utajuta. Sababu anapika akijisikia..sasa mimi nataka akija akute ni mzee wa mia hata kwenye mapishi
 
Hahaha.

Kwenye oven ukishakausha viazi(wakati oven yakoikipata joto, hapa usiniulize unaweka joto ngapi mie natumia hisia zangu tu zitakavyonituma.....ila angalau uanzie 180)

Unapaka bakibg tin yako mafuta kisha unahyunyuzia mafuta kiasi pamoka na viungo uvitakavyo kwenye viazi vyako na unaviweka viive.

Angalizo oven hutumia muda kidogo tofauti na mafuta.
 
Unaweza kuacha kuchat na kuacha shughuli nyingine lakini akaunguza tena.kwa kifupi tu USIKAE MBALI NA UNACHOPIKA UKIKIFUATILIA KWA UMAKINI SANA KAMA WEWE NI MGENI WA JIKONI.
 
Menya viazi vyako.....

Osha vizuri

Katakata mkato wa chips

Zikaushe maji

Nyunyuzia chumvi na blackpaper kidogo

Bandika mafuta....yakiwa tayari weka chips zako....

Zikianza kiwa brownish kwa mbali zigeuze ...baada ya sekunde 30 hadi 50 zitakuwa tayari

Unaweza ukalia na maini ya kukaanga au mayai au samaki wa kupaka au kavu kavu


Aidha kama hutumii mafuta unaweza zipika kwenye oven


Yaani ile unamaliza tu kupika mgeni wa saa saba ndo naibuka.....
na mkanda wa Nigeria kwenye mfuko.....
 
@Oa..
Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
 
Yaani ile unamaliza tu kupika mgeni wa saa saba ndo naibuka.....
na mkanda wa Nigeria kwenye mfuko.....
Hahahahaaa halafu ukute viazi vyenyewe vilikuwa kidogo ukajua utajazia maji....[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Mkuu, sijafanikiwa kupata shemeji yako. Nipo kwenye mchakato. Nataka mwakani nioe eidha ndoa ya kanisani, mahakamani, mkeka, kimila au vyovyote vile, Muhimu lazima nioe aisee. hii imekuwa too much. Vipi wewe tayari?
Unataka kuoa kwa sababu umeshindwa kupika chips?
Wakati mwengine chips nzuri inategemea aina ya viazi ndio zinakauka kama ulivyokuwa unataka.
Viazi vyenye ganda la rangi ya kama kijani vya vinavyolimwa west kilimanjaro ni vizuri sana.
Ukichemsha mafuta usiaache ya kapata joto kupita kiasi.
 
Ha ha haaaaa. Me kwanza nikajua hivyo ni vipande vya ngisi ndio kitoweleo cha hizo chips hapo kwenye karai.
Wakati wataka kuzikaanga usiwache mafuta mpaka yakapata moto sana.
Then hio alokwambia mdau ya kuweka kwenye maji ya moto kwanza ni nzuri pia, inasaidia kuzofanya chips ziwe crispy bila kuungua. Na pia ukizikata zikate nyembamba nyembamba ili ziwive mara moja, ukikata manene yanakuwa yanachelewa kuwiva na kukauka matokeo yake yanaungua kama hayo yako.
 
Unataka kuoa kwa sababu umeshindwa kupika chips?
Wakati mwengine chips nzuri inategemea aina ya viazi ndio zinakauka kama ulivyokuwa unataka.
Viazi vyenye ganda la rangi ya kama kijani vya vinavyolimwa west kilimanjaro ni vizuri sana.
Ukichemsha mafuta usiaache ya kapata joto kupita kiasi.
Ndio mkuu. Ila kabla ya kuoa lazima nijue kupika. Wanasema chips ndo chakula rahisi kupika.

Mkuu unautaalam huo. Kuna chips nlikula pale samaki samaki, kilanikijaribu nashindwa. Je wewe waweza nifundisha live?
 
Mkuu, acha kunikatisha tamaa ya kujifunza kupika. Nmeomba ushauri, kama unaweza nifundishe. Hata hivyo haijaungua hiyo bali imebadiika rangi, nahisi ni kwa sababu ya mafuta yatakuwa yameungua.
Uliweka viazi mafuta yakiwa ya moto sana
 
Asante sana mkuu, ila mimi nataka vya kukaanga sio kuchemsha. halafu nataka vikauke. Asante, siku nyingine ntakuwa sichati.

Hiyo ya kuweka viazi kwenye freezer inasaidia nini au hiyo ya kusubiri dakika 10? Manake mimi hadi napika, maanake njaa inakuwa inauma. Sasa hapo si ntakuwa napoteza muda?
1.Hakikisha mafuta yamepata moto kiasi kabla ya kuweka viazi vyako,
2.Usijisahau kukaa mbali na jiko, kuchati n.k.
3. Kama unatumia gesi weka moto wa kadiri sio mdogo sana au mkubwa sanana.
Ukifuata maelekezo haya yote viazi vitatoka vikiwa vimeiva vizuri vimekauka na salama kabisa kwa kula
 
Back
Top Bottom