Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
ayaah,,,umenikumbusha dame fulani nilikuta anakaanga chips kwa mafuta machache kama anakaanga chapati,hadi saa tisa toka saa nne chips nasubiri bado hazijaiva,,ha ha ha,Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
nenda you tube search,"how to cook MacDonald french fries"